Wapendekeza maadili yafundishwe chekechea
MAOFISA watendaji wa kata, mitaa, vijiji na wawakilishi wa vyama vya siasa kutoka mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara, wamependekeza somo la maadili ya umma lifundishwe kuanzia chekechea. Rai hiyo ilitolewa jana jijini hapa baada ya mafunzo ya siku moja kuhusu maadili ya viongozi na watumishi wa umma katika usimamizi wa rasilimali.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s72-c/picha%2B1.jpg)
Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s640/picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-l5XlGmBTCic/XmikI1Bv_uI/AAAAAAALijM/Go9M5LmME3wzjeVSCXYFLMS-kTNmsEO7ACLcBGAsYHQ/s640/picha%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K-WRxy3gYEA/U5rESXxe5oI/AAAAAAAFqUU/yt5xYL2Wfgo/s72-c/unnamed.jpg)
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1go73rECilU/VHSVuWdInwI/AAAAAAAGzVk/Qtfnr6gXt7w/s72-c/IMG-20141125-WA0005.jpg)
Sekretarieti ya Maadili waendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Polisi Zanzibar
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wapendekeza nauli za daladala zipunguzwe
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
TFC wapendekeza soko la pamoja
UMOJA wa Vyama vya Ushirika (TFC) umependekeza muswada wa sheria kuhusu soko la pamoja. Mapendekezo hayo waliyatoa jijini Dar es Salaam jana walipokutana na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki...
9 years ago
Michuzi17 Oct
10 years ago
Habarileo06 Sep
Wapendekeza mahakama kumulikwa kwa rushwa
BAADHI wa wajumbe walio wachache wa kamati namba tano wamependekeza kuwapo kwa chombo maalumu cha kuweza kuangalia utendaji wa mahakama ambayo inalalamikiwa na wananchi wengi kuwa imeshamiri kwa rushwa.
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Upinzani wapendekeza Kura ya maoni Kenya