Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiga mbizi wawasaka manusura wa ferry

Wapiga mbizi wa Korea kusini wafanya majaribio kadhaa ya kuingia ndani ya ferry ya abiria iliozama siku ya jumatano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makomando wawasaka wapiganaji Ukraine

Vikosi vya jeshi nchini Ukrain vimekuwa vikielekea mji wa Slavyask ambayo ni ngome ya makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni

Wazazi wa takriban watoto 100 waliotekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameingia msituni kuwatafuta watoto wao.

 

9 years ago

GPL

MAMA DIAMOND AMFUNIKA ZARI KWA MBIZI

Imelda mtema MAMA’KE Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ameonesha umahiri mkubwa wa kuogelea kiasi cha kumfunika mkwe wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwenye bwawa la kuogelea lililopo nyumbani kwa Diamond, Tegeta-Mivumoni jijini Dar.  ....Soma zaidi===>http://goo.gl/KqQxXf

 

9 years ago

Dewji Blog

Ukiwa na haraka Mbweni JKT jiandae kupiga mbizi

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam

UPIGE mbizi. Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni.

Ni eneo tata. Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno. Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi waliojenga katika eneo hilo. Eneo linalojengwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Manusura waendelea kutafutwa Nepal

Makundi ya uokoaji yamefanya kazi nchini Nepal, kutafuta manusura baada ya tetemeko baya la ardhi lililokumba nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya manusura yadidimia Nepal

Matumaini yanadidimia nchini Napal ya kuwapata manusura zaidi , baada ya kutokea kwa tetemeko baya la ardhi wiki moja iliyopita .

 

10 years ago

BBCSwahili

Matuamini ya kupata manusura yadidimia

Waokoaji katika bahari ya Mediterranean wamesema kuwa hawatarajii kupata manusura zaidi kutoka mashua iliyozama ikiwa imewabeba takriban wahamiaji 600 katika pwani ya Libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Manusura wa Auschwitz waionya dunia

Manusura wa mauaji ya kimbari katika kambo ya Auschwitz wameihimiza dunia kutoruhusu uhalifu wa mauaji hayo ya Holocaust.

 

9 years ago

BBCSwahili

Manusura wa mgodi TZ walikula 'mende na vyura'

Manusura wa mgodi nchini Tanzania walikula mende,vyura na hata wadudu wengine ili kuweza kuishi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani