Wapiganaji wa Houthi wakubali mpango wa UN
Wapiganaji wa Houthi nchini Yemen wameunga mkono mpango wa amani uliopendekezwa na Umoja wa Mataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi
Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Houthi kuendeleza mapigano,Yemen
Kiongozi wa waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutaka kuchukua taifa lao.
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa
Majeshi ya muungano yakiongozwa na jeshi la Saudi Arabia yamesitisha mashambulizi yake ya angani nchini Yemen, baada ya kuanza muafaka wa amani wa kusitisha mapigano.
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
Saudi Arabia inasema kuwa imezuia makombora yaliyofyatuliwa kutoka nchini Yemen kwenda ardhi yake na waasi wa Houthi
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen
Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen
Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Houthi wateka maeneo zaidi Yemen
Maafisa wa usalama nchini Yemen wanasema waasi wa kundi la Houthi wameshikilia maeneo kadhaa ya mji wa tatu kwa ukubwa wa Taiz
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Yemen:Waasi wa Houthi wafurushwa kambini
Vikosi vinavyounga mkono serikali nchini Yemen vimechukua kambi kubwa ya wanahewa katika makabiliano na waasi wa Houthi ,msemaji wa vikosi hivyo ameambia BBC.
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Yemen:Houthi yakamia mji wa Aden
Marekani ilisema kuwa inaharakisha kuwasilisha silaha kwa majeshi ya muungano
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
19-February-2025 in Tanzania