Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji wakiri kutekeleza mauaji Mali

Kundi la wapiganaji linaloongozwa na Mokhtar Belmokhtar linasema kuwa ndilo lililotekeleza shambulizi katika klabu Mali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wauguzi wakiri wapo wanaowachafua

CHAMA cha Wauguzi Tanzania Mkoa wa Dodoma (TANNA) kimekiri kuwepo kwa udhaifu kwa baadhi ya wauguzi kutozingatia maadili ya uuguzi, hali ambayo inasababisha kero kwa jamii wanayoihudumia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wakiri kushambulia Djibouti

Al Shabaab wamekiri kushambulia mgahawa unaotembelewa na wageni nchini Djibouti. Katika shambulio la awali watatu walikufa.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wakiri makosa Operesheni Tokomeza

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Isaya MunguluJESHI la Polisi, limekuwa la kwanza kati ya taasisi saba zinazohusika moja kwa moja, kukiri udhaifu katika utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyowaondoa mawaziri wanne katika nafasi zao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgahawa wa Kichina wakiri kuwazuia weusi

Wamiliki wa mgahawa wa kichina uliopo jijini Nairobi nchini Kenya uliofungwa na mamlaka ya eneo hilo amekiri kuwazuia watu weusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wakiri kuteka wasichana

Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wakiri kujeruhi waumini kwa bomu

JESHI la Polisi limekiri kuhusika na tukio la bomu la machozi lililowajeruhi waumini sita waliokuwa wakitoka kwenye ibada ya mkesha wa mwaka mpya katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga,...

 

10 years ago

Habarileo

IMTU wakiri makosa, waahidi kutimiza masharti

UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) umekiri makosa yaliyosababisha kusitishwa kudahili wanafunzi wapya kwa mwaka 2014/15 na kuahidi kushughulikia tatizo hilo kabla notisi ya miezi mitatu kuisha.

 

9 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford Na Nay wa Mitego Wakiri Uhusiano Wao wa Kimapenzi

Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford amekiri kuwahi kutoka kimapenzi na Nay wa Mitego na baadaye wakaachana.

Shamsha na Nay wa Mitego walikuwa wakizungumza kwa pamoja ndani ya Global TV hivi karibuni. “Ukweli ni kwamba finally nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Emanuel (Nay) lakini tumeachana,” alisema Shamsa.

Kwa upande wake Nay alisema uhusiano ulikuja baada ya kuwa marafiki.

“Tulikuwa washkaji, mahusiano yetu yalianza hivyo,” alisema rapper huyo.

“Tulienda Masaki baada ya kukaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani