Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauguzi wakiri wapo wanaowachafua

CHAMA cha Wauguzi Tanzania Mkoa wa Dodoma (TANNA) kimekiri kuwepo kwa udhaifu kwa baadhi ya wauguzi kutozingatia maadili ya uuguzi, hali ambayo inasababisha kero kwa jamii wanayoihudumia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

11 years ago

GPL

JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA

Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wakiri kushambulia Djibouti

Al Shabaab wamekiri kushambulia mgahawa unaotembelewa na wageni nchini Djibouti. Katika shambulio la awali watatu walikufa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgahawa wa Kichina wakiri kuwazuia weusi

Wamiliki wa mgahawa wa kichina uliopo jijini Nairobi nchini Kenya uliofungwa na mamlaka ya eneo hilo amekiri kuwazuia watu weusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wakiri kuteka wasichana

Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wakiri kutekeleza mauaji Mali

Kundi la wapiganaji linaloongozwa na Mokhtar Belmokhtar linasema kuwa ndilo lililotekeleza shambulizi katika klabu Mali

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wakiri makosa Operesheni Tokomeza

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Isaya MunguluJESHI la Polisi, limekuwa la kwanza kati ya taasisi saba zinazohusika moja kwa moja, kukiri udhaifu katika utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyowaondoa mawaziri wanne katika nafasi zao.

 

10 years ago

Habarileo

IMTU wakiri makosa, waahidi kutimiza masharti

UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) umekiri makosa yaliyosababisha kusitishwa kudahili wanafunzi wapya kwa mwaka 2014/15 na kuahidi kushughulikia tatizo hilo kabla notisi ya miezi mitatu kuisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wakiri kujeruhi waumini kwa bomu

JESHI la Polisi limekiri kuhusika na tukio la bomu la machozi lililowajeruhi waumini sita waliokuwa wakitoka kwenye ibada ya mkesha wa mwaka mpya katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani