Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji washambulia chuo Nigeria

Duru kutoka Kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu waliojihami wamevamia chuo cha mafunzo ya Ualimu katika kijiji cha Kano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji washambulia chuo kikuu Kenya

Wapiganaji waliofunika nyuzo zao wameshambulia eneo la chuo kikuu cha Garissa kazkazini mwa Kenya karibu na mpaka na Somali

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji washambulia Lamu - Kenya

Pwani ya Kenya yashambuliwa na wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wa kiislamu

 

10 years ago

Vijimambo

Al-Shabab washambulia chuo kikuu cha Garissa Kenya

Washambulizi wa Al-Shabab wameshambulia chuo kikuu cha Garissa, kaskazini mashariki ya Kenya na kusababisha vifo vya takriban watu 70 kulingana namaafisa wa serikali na zaidi ya 70 kujeruhiwa.Kifaru cha jeshi la Kenya kikiwasili karibu na chuo kikuu cha Garissa,Garissa, Kenya, April 2, 2015.Polisi wa Kenya wakikaribia majengo ya chuo cha Garissa kwa uangalifu mkubwaWananchi wa Garissa wakisubiri kuchangia damu katika hospitali ya Garissa ambako wengi waliojeruhiwa wamelazwaKifaru cha jeshi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram washambulia Nigeria

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram, wanashukiwa kuhusika katika shambulizi jingine huko mji Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

Michuzi

wapiganaji walamba nondozzz Chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT)

Mhariri Msanifu wa Gazeti la Mtanzania, Khamis Mkotya ametunukiwa Shahada ya Sayansi ya Jamii katika Siasa, Uongozi na Utawala (Political Science and Public Administration), baada ya kuhitimu masomo yake ya elimu ya juu. Mkotya pamoja na wahitimu wengine walitunukiwa shahada zao mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali ya 26 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika eneo la Bungo, Kibaha mkoani Pwani.  Wahitimu wote walitunukiwa shahada zao na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dk. Asha...

 

10 years ago

GPL

BOKO HARAM YASHAMBULIA CHUO NIGERIA, 12 WAJERUHIWA VIBAYA

Shambulio la Boko Haram nchini Nigeria. Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa. Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 12 WAJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOKO HARAM KUSHAMBULIA CHUO NIGERIA

 Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa.Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa mabomu.Vyombo vya habari nchini Nigeria vimeripoti kuwa, shambulizi hilo lilifanyika katika Chuo...

 

10 years ago

Vijimambo

Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Mwakilishi wa Katibu Mkuu na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw.Elibariki Maleko(katikati) akizungumza kuukaribisha Ujumbe kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi cha nchini Nigeria (hawapo pichani) ulipokutana na Watendaji wa Wizara kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu Sera ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa. Ujumbe huo unaongozwa na Brigedia Generali Jimoh (wa pili kushoto) na upo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia Mogadishu

Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani