Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinzani DRC wapokea tarehe ya uchaguzi

Upinzani nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia umepokea kwa furaha hatua ya tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kutangaza tarehe ya uchaguzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

YANGA HII NI TAMU ZAIDI YA MCHARO COASTAL WAGEUZWA CHIPS FUNGA WAPOKEA 8 SAWA NA TAREHE YA MCHEZO WAO NA YANGA.


Yanga hii ni ya kimataifa na kitaifa ndiyo habari ya mjini Coastal Union hawatasahau milele kipigo cha leo tarehe 8 mwezi wa 4 wapigwa bao sawa na tarehe ya siku ya mchezo wao na Yanga taifa. Amis Tambwe apiga nne, Mliberia  nae afunga bao lake la kwanza toka ajiunge Yanga na baada ya kufunga bao hilo alitoa machozi kwa furaha pia mliberia huyo alitoa pasi tatu zilizo zaa mabao matatu katika mchezo huo. Yanga sasa inazidi kujikita kileleni kwa kuwa na point 43 wakishuka dimbani mara 20, Azam...

 

9 years ago

GPL

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATAJA TAREHE YA UCHAGUZI LUSHOTO, ULANGA MASHARIKI

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mmoja wa wanahabari akinyoosha mkono kuuliza swali kwa mwenyekiti huyo (hayupo pichani).…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinzani walalamikia uchaguzi Nigeria

Upinzani nchini Nigeria umekosoa hatua ya kuahirishwa kwa uchaguzi hadi mwishoni mwa Mwezi March.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, wapinzani walalamikia kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi

Katika hali isiyotarajiwa na wengi karibu viongozi wote wa vyama vya siasa wakiwamo wa Chama tawala CCM waliohojiwa kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wamelalamikia uchaguzi huo na kuainisha kasoro mbalimbali zilizochangia kuvuruga kazi hiyo yote. Baadhi ya kasoro hizo ni pamoja na kukosekana kwa majina ya wapiga kura, majina ya wagombea kujichanganya na nembo za vyama kuwekwa tofauti. Kasoro zingine ni kuchelewa kuanza kwa uchaguzi huo, majina ya watu kutumika kupigiwa kura na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria tete ya uchaguzi DRC kutupwa

Spika wa bunge nchini DRC amesema kuwa mabadiliko yaliozua utata katika sheria ya uchaguzi nchini humo yatatupiliwa mbali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yatangaza tarehe za uchaguzi

Tume ya taifa nchini Burundi imetangaza ratiba ya tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Wapinzani wakutana faragha na Rais Magufuli Ikulu Dar es Salaam

Rais Magufuli hakusalimiana kwa kupeana mikono badala yake kupeana miguu na ishara ya mikono kama njia ya kujikinga na virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani