Wapinzani wanajisumbua bure -Shein
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM- Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema juhudi zinazofanywa na wapinzani kutaka kuving’oa madarakani vyama vilivyoleta ukombozi katika bara la Afrika kamwe hazitafaulu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jun
DK Shein: Nitawashinda wapinzani Zanzibar Oktoba
10 years ago
Mtanzania13 Jan
Dk. Shein atangaza elimu bure Zanzibar
ELIAS MSUYA NA IS-HAK OMARI, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ametangaza rasmi kufuta michango yote katika elimu ya msingi kuanzia Julai mwaka huu.
Amesema kutokana na hali hiyo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itabeba gharama zote ikiwa kama mkakati wa kuinua elimu.
Hayo aliyasema jana wakati akihutubia mamia ya wananchi katika sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan mjini Unguja.
Alisema...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Oct
Lowassa: Wanajisumbua
Mgombea urai wa Tanzania kupitia CHADEMA, anayeungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akiwahutubia wananchi wa Monduli, mwanzoni mwa wiki hii katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu baadaye mwezi huu. Chanzo: JAMHURI Oktoba 7, 2015 Mgombea […]
The post Lowassa: Wanajisumbua appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Dkt. Shein aongoza waombolezaji kwenye mazishi ya dada yake, Marehemu Fatma Shein
![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vsf68xAbpJs/VWNBRGHMgdI/AAAAAAAHZvc/LlMG9Xy7nZM/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI