warembo wanaowania taji la Miss Arusha 2014 watembela hospital ya maria stopes jijini humo
![](http://2.bp.blogspot.com/-CtS1KPG3CG0/U5F2qd3YGiI/AAAAAAAFn_I/7rcRPpnvV0M/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Baadhi ya Warembo wanaowania taji ya Ulimbwende la Jiji la Arusha,wakimsikiliza kwa makini Dr,Sober Mzighani wa Hospitali ya Maria Stopes ya jijini humo wakati wakipatia mafunzo mbali mbali yahusuyo maswala ya afya ya Binadamu.Hii ni sehemu ya maandalizi ya Onyesho hilo la Urembo ambalo linataraji kufanyika hivi karibuni.
Warembo wanaowania taji ya Ulimbwende la Jiji la Arusha wakiwa katika picha ya pamoja.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 May
Warembo wanaowania taji la Miss Tabata 2014 waendelea kujinoa ukumbi wa Dar West Park
Warembo wanaoshindania miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi ya shindano hilo na fainali itakalofanyika siku ya Ijumaa tarehe 06/06/ 2014. Mashindano haya ya Miss Tabata 2014 yatafanyika kwenye ukumbi wa Dar West Park.
Mwalimu Pasilida Mandari anayewanoa warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 akizungumza na warembo hao wakati wa mazoezi.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa watokelezea kwenye pozi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s72-c/miss-world-2014.jpg)
NEWS ALERT: MISS SOUTH AFRICA Rolene STRAUSS ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014 USIKU HUU JIJINI LONDON, UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s1600/miss-world-2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QiPAw6maMrU/VI3D1fxh5yI/AAAAAAAG3LY/st7LyIHWSSE/s1600/83517_profileImage1.600x400.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Nani kutwaa Taji la Miss Tabata 2014 leo Tarehe 06/06/2014?
11 years ago
GPLWAREMBO 20 KUCHUANA MISS SHINYANGA 2014
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Warembo 17 mazoezini Miss Tabata 2014
WAREMBO 17 wamejitokeza kushiriki shindano la kumtafuta Redd’s Miss Tabata 2014. Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa, warembo hao wanaendelea na mazoezi katika...
10 years ago
MichuziWAREMBO MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI
10 years ago
MichuziWAREMBO WA MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI LEO
Warembo hao waliowasdili kwa muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya leo na kupokelewa na waandaaji wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la maraha la Dar.
Warembo kutoka Kanda ya Ziwa walitia fora pale warembo hao walipowasili kambini hapo wakiwa ndani...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eS9uT3MSeBA/U4wxhLW_vhI/AAAAAAAFnI0/SmtoijQAYMY/s72-c/unnamed.jpg)
12 kuwania taji la miss Kilimanjaro 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-eS9uT3MSeBA/U4wxhLW_vhI/AAAAAAAFnI0/SmtoijQAYMY/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kABfhm1K8AI/U-8f89AEhQI/AAAAAAAAV7o/7wAo4WY1d1E/s72-c/1.jpg)
MARIA SHILA NDIYE REDD'S MISS KINONDONI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-kABfhm1K8AI/U-8f89AEhQI/AAAAAAAAV7o/7wAo4WY1d1E/s1600/1.jpg)
Shila ameungana na warembo wengine Camila Cindy John aliyeshika nafasi ya pili na Queenlatifa Hashim aliyeshika nafasi ya tatu ambao kwa pamoja wamepata tiketi ya kuiwakilisha Kanda ya Kinondoni katika...