Wasafisha barabara kumlaki Lowassa
Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alipokelewa na umati wa wananchi wa mji wa Musoma mkoani Mara, huku baadhi yao wakifagia barabara na kupiga deki ili apite bila vumbi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Lowassa aionya NEC, Magufuli atambia barabara
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesifu kazi ya ujenzi wa barabara katika miaka 10 iliyopita, huku mgombea wa Chadema, Edward Lowassa akiituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa imempotosha Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
MichuziTaasisi ya Mkapa wasafisha Zahanati ya Kawe
Katika kuitikia wito wa Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wa kusherekea siku ya Uhuru wa miaka 54 ya Tanzania, Taasisi ya Benjamin William Mkapa (The Benjamin William Mkapa Foundation- BMF) imeshiriki kikamilifu katika shughuli za usafi zilizofanyika siku ya maadhimisho ya Uhuru tarehe 9 desemba mwaka huu wa 2015 kwa kufanya usafi katika Zahanati ya Kawe iliyopo Manispaa ya Kinondoni, Dar Es Salaam.
Zoezi hili la usafi lilishirikisha wafanyakazi...
Zoezi hili la usafi lilishirikisha wafanyakazi...
11 years ago
GPL11 years ago
GPLPOLISI WASAFISHA GEREJI BUBU BAMAGA, MWENGE
Gari aina ya Toyota Hilux yenye namba T 510 ADT ikitolewa na break-down.
Eneo la gereji bubu likiwa jeupe baada ya magari kadhaa kuondolewa.
Baadhi ya mafundi gereji bubu wakitahamaki.…
10 years ago
GPLWAFANYAKAZI RELI WASAFISHA ENEO LA STESHENI JIJINI DAR
Mwenyekiti wa Bodi ya TRL, Severin Kaombwe (kulia),  akihojiwa na wanahabari katika stesheni ya Posta jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la reli Eng. Elias A. Mshana. Wafanyakazi wa TRL wakijiandaa kuchukua vifaa vya kufanyia usafi eneo la stesheni.…
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Wamiminika Ofisi za Chadema ‘kumlaki’ Dk Slaa
Baadhi ya wanachama na mashabiki wa Chadema jana walifika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam kumsubiri Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa baada ya kuenea uvumi kuwa angeingia ofisini.
9 years ago
VijimamboMAMA SAMIA SULUHU AWASILI KIGOMA, WANANCHI WASIMAMISHA SHUGHULI KUMLAKI
Baadhi ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamemsimamisha mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan Kata ya Igagala, Uvinza Mkoani Kigoma wakimtaka awasalimie kabla ya kuendelea na safari. Mgombea mwenza huyo wa CCM ameingia mkoani Kigoma kwa ziara ya kampeni kuinadi ilani ya CCM.
Baadhi ya Wananchi wakiwa wamesimama pemezoni mwa barabara kumlaki mgombea mwenza wa urais CCM alipokuwa akiwasili Mkoani Kigoma kufanya mikutano yake ya kampeni.Mgombea mwenza akizungumza na...
Baadhi ya Wananchi wakiwa wamesimama pemezoni mwa barabara kumlaki mgombea mwenza wa urais CCM alipokuwa akiwasili Mkoani Kigoma kufanya mikutano yake ya kampeni.Mgombea mwenza akizungumza na...
9 years ago
MichuziWANANCHI WA MASASI WAMKUBALI MAGUFULI,WAJITOKEZA KWA WINGI BARABARANI KUMLAKI
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Masasi kwenye uwanja wa Bomani ambapo aliwaambia kama atapewa ridhaa na wananchi hao ya kuiongoza Tanzania basi atahakikisha utendaji, ufanisi katika kuleta maendeleo nchini unaongezeka ikiwa pamoja na kuhakikisha kila mwananchi anapata haki ya msingi. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Masasi kwenye uwanja wa Bomani ambapo aliwaambia kama atapewa ridhaa na wananchi hao ya...
10 years ago
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania