Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasafisha barabara kumlaki Lowassa

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alipokelewa na umati wa wananchi wa mji wa Musoma mkoani Mara, huku baadhi yao wakifagia barabara na kupiga deki ili apite bila vumbi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa aionya NEC, Magufuli atambia barabara

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesifu kazi ya ujenzi wa barabara katika miaka 10 iliyopita, huku mgombea wa Chadema, Edward Lowassa akiituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa imempotosha Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Michuzi

Taasisi ya Mkapa wasafisha Zahanati ya Kawe

Katika kuitikia wito wa Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wa kusherekea siku ya Uhuru wa miaka 54 ya Tanzania, Taasisi ya Benjamin William Mkapa (The Benjamin William Mkapa Foundation- BMF) imeshiriki kikamilifu katika shughuli za usafi zilizofanyika siku ya maadhimisho ya Uhuru tarehe 9 desemba mwaka huu wa 2015 kwa kufanya usafi katika Zahanati ya Kawe iliyopo Manispaa ya Kinondoni, Dar Es Salaam.
Zoezi hili la usafi lilishirikisha wafanyakazi...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA EXIM SHINYANGA WASAFISHA SOKO KUU

 Wafanyakazi wa Benki ya…

 

11 years ago

GPL

POLISI WASAFISHA GEREJI BUBU BAMAGA, MWENGE

Gari aina ya Toyota Hilux yenye namba T 510 ADT ikitolewa na break-down.
Eneo la gereji bubu likiwa jeupe baada ya magari kadhaa kuondolewa.
Baadhi ya mafundi gereji bubu wakitahamaki.…

 

10 years ago

GPL

WAFANYAKAZI RELI WASAFISHA ENEO LA STESHENI JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Bodi ya TRL, Severin Kaombwe (kulia),  akihojiwa na wanahabari katika stesheni ya Posta jijini Dar es Salaam.  Kushoto ni  Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la reli Eng. Elias A. Mshana. Wafanyakazi wa TRL wakijiandaa kuchukua vifaa vya kufanyia usafi eneo la stesheni.…

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiminika Ofisi za Chadema ‘kumlaki’ Dk Slaa

Baadhi ya wanachama na mashabiki wa Chadema jana walifika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam kumsubiri Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa baada ya kuenea uvumi kuwa angeingia ofisini.

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA SULUHU AWASILI KIGOMA, WANANCHI WASIMAMISHA SHUGHULI KUMLAKI

Baadhi ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamemsimamisha mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan Kata ya Igagala, Uvinza Mkoani Kigoma wakimtaka awasalimie kabla ya kuendelea na safari. Mgombea mwenza huyo wa CCM ameingia mkoani Kigoma kwa ziara ya kampeni kuinadi ilani ya CCM.
Baadhi ya Wananchi wakiwa wamesimama pemezoni mwa barabara kumlaki mgombea mwenza wa urais CCM alipokuwa akiwasili Mkoani Kigoma kufanya mikutano yake ya kampeni.Mgombea mwenza akizungumza na...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MASASI WAMKUBALI MAGUFULI,WAJITOKEZA KWA WINGI BARABARANI KUMLAKI


   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Masasi kwenye uwanja wa Bomani ambapo aliwaambia kama atapewa ridhaa na wananchi hao ya kuiongoza Tanzania basi atahakikisha utendaji, ufanisi katika kuleta maendeleo nchini unaongezeka ikiwa pamoja na kuhakikisha kila mwananchi anapata haki ya msingi.  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Masasi kwenye uwanja wa Bomani ambapo aliwaambia kama atapewa ridhaa na wananchi hao ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani