WASANII WA NGUVU MPYA WAJIFUA
Wakicheza ‘scene’ ya ugomvi ambapo msanii (kulia) ameigiza kama mbabe ndani ya scene hiyo. wakicheza scene ya malumbano ambapo wasanii waliosimama pichani, wanamshinikiza kitu msanii aliyekaa. Wasanii wa Kikundi cha Maigizo cha Nguvu Mpya wamekutwa wakijifua kwa kufanya mazoezi mbalimbali kuhakikisha wanafanya vizuri katika kazi zao za sanaa.Kamera yetu iliwatembelea vijana hao… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgadGuNd6DdN4CuIGnN33wQD5ocpMg81eJYZwZIMkg4E-REuRODx0W-BHkcYmL833Xox2xXlL44XcrfYuw8N2dMD/MJUMBEWASHILIKISHOLAFILAMU6.jpg)
WASANII WALIVYOMPA NGUVU MWAKILISHI WAO BUNGENI
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
10 years ago
Bongo515 Dec
Nikki Mbishi: Wananchi elekezeni nguvu zenu kwa wasanii wengine pia, si Diamond tu!
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ahaidi kusimamia kazi za Wasanii kwa nguvu zote
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na wadau mbalimbali kutoka BASATA,COSOTA,BODI YA FILAMU,CMEA NA WASANII jana jijini Dar es Salaam juu ya kuendelea kusimamia haki ya wasanii na kuhakikisha kila msanii anapata anachostahili kupitia Sanaa yake na kwamba serikali imeweka nguvu kubwa katika eneo hilo.
Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage (kulia) akiongea waandishi wa habari kuhusu vyombo vya habari(television na Redio) kuanza kulipia...
9 years ago
Bongo528 Sep
Mona G adai nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanapokosea, itumike pia kulinda kazi zao
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mradi DART wapata nguvu mpya
MRADI wa mabasi yaendayo haraka umepiga hatua nyingine baada ya kupatikana kampuni ya washauri itakayofanya kazi ya kupatikana watoa huduma muhimu kwa mradi huo unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu....
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Dk Magufuli atoa mpya tena afanya mazoezi ya nguvu jukwaani Makambako
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akifanya mazoezi jukwaani akijiandaa kujinadi kwa wananchi katika Mji wa Makambako, mkoani Njombe leo, jambo ambalo lilizua vifijo, nderemo na vigelegele kutoka kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wa kampeni.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende...
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
Wahamasishaji jamii kuongeza nguvu ya kampeni mpya ya uzazi wa mpango Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu (katikati) akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari,waganga wakuu wa wilaya mkoani Kigoma na wahamasishaji jamii kuhusu uzazi wa mpango ikiwa ni sehemu ya kampeni ya uzazi wa mpango ijulikanayo thamini uhai Jitofautishe.
*Wahamsishaji jamii waliofuzwa watafanya kazi na kampeni ya Thamini Uhai kuhamasisha faida za uzazi wa mpango*
Mkutano na waandishi wa habari mkoani Kigoma umeainisha nafasi muhimu ya...