Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washauriwa kuwa makini matumizi ya pampasi

WATOTO wa kike wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya njia ya mkojo, aleji na hata upele kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya pampasi anayovishwa mtoto kumsitiri anapojisaidia na kubaki nayo kwa muda mrefu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Washauriwa kuzingatia matumizi ya mikataba

WABUNGE na madiwani wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya mikataba mbalimbali kwa mujibu wa taratibu na makusudi, ambayo yanalenga kuboresha maslahi ya halmashauri.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake washauriwa matumizi mazuri ya ardhi

SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow limewataka wanawake kujali umuhimu wa utumiaji ardhi, ili kuongeza uzalishaji kwa faida yao binafsi na jamii kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwe makini, tuzingatie nidhamu kwenye matumizi yetu

Kelele mbalimbali zinazohusu matumizi mabaya ya fedha za umma zimekuwa zikipigwa ndani na nje ya vikao vya Bunge.

 

9 years ago

Dewji Blog

Vijana washauriwa kuwa na moyo wa kujitolea

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akitoa nasaa zake kwa Vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali hapa nchini Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea Duniani ambapo Tanzania yamefanyika jijini Dar. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).

Mkurugenzi Mkazi wa UNDP nchini, Awa Dabo akitoa historia ya kujitolea pamoja na kuwasisitiza vijana kuwa na moyo wa kujitolea katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahitimu Mzumbe Mbeya washauriwa kuwa wapambanaji

VIJANA wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuingia katika soko la ajira wakiwa wanajiamini na kujipambanua kiuwezo kutokana na elimu waliyopata chuoni. Akizungumza wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wahadharishwa kuwa makini

Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.

 

11 years ago

Habarileo

JK ahimiza Takukuru kuwa makini

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini kuhakikisha kuwa kesi za rushwa dhidi ya watu mbalimbali inazozipeleka mahakamani, zinakuwa na nafasi kubwa ya kufanikiwa kwa maana ya washitakiwa kukutwa na makosa.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi watakiwa kuwa makini

VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

KUWA MAKINI KATIKA KUWASHAURI WAPENZI

NAKUKARIBISHA katika Jumanne tuliyoiona kwa kudra za Mwenyezi Mungu kwa kutupa pumzi na uhai wake bure.Leo tutazungumzia kuhusu suala zima la kuwa makini katika kuwashauri wapenzi waliofarakana. Kama unataka kuwashauri watu walio na malumbano katika uhusiano wa mapenzi basi kwanza washauri kwa kuutenga ukweli na uongo bila kuegemea upande mmoja. Pili kuwa makini kuuponda upande mmoja ambao haupo karibu yako wakati ukimshauri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani