Washauriwa kuwa makini matumizi ya pampasi
WATOTO wa kike wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya njia ya mkojo, aleji na hata upele kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya pampasi anayovishwa mtoto kumsitiri anapojisaidia na kubaki nayo kwa muda mrefu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Nov
Washauriwa kuzingatia matumizi ya mikataba
WABUNGE na madiwani wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya mikataba mbalimbali kwa mujibu wa taratibu na makusudi, ambayo yanalenga kuboresha maslahi ya halmashauri.
10 years ago
Habarileo22 Mar
Wanawake washauriwa matumizi mazuri ya ardhi
SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow limewataka wanawake kujali umuhimu wa utumiaji ardhi, ili kuongeza uzalishaji kwa faida yao binafsi na jamii kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi29 May
Tuwe makini, tuzingatie nidhamu kwenye matumizi yetu
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Vijana washauriwa kuwa na moyo wa kujitolea
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akitoa nasaa zake kwa Vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali hapa nchini Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea Duniani ambapo Tanzania yamefanyika jijini Dar. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP nchini, Awa Dabo akitoa historia ya kujitolea pamoja na kuwasisitiza vijana kuwa na moyo wa kujitolea katika...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Wahitimu Mzumbe Mbeya washauriwa kuwa wapambanaji
VIJANA wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuingia katika soko la ajira wakiwa wanajiamini na kujipambanua kiuwezo kutokana na elimu waliyopata chuoni. Akizungumza wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu...
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wananchi wahadharishwa kuwa makini
JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.
11 years ago
Habarileo19 Jul
JK ahimiza Takukuru kuwa makini
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini kuhakikisha kuwa kesi za rushwa dhidi ya watu mbalimbali inazozipeleka mahakamani, zinakuwa na nafasi kubwa ya kufanikiwa kwa maana ya washitakiwa kukutwa na makosa.
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wasomi watakiwa kuwa makini
VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAPnCShAO14S0MAcMWSS7C0l4Ar8Hr8B9-OG3C4JBWINrlkBHXDPt0ilWwQ9P5ZD1YBrohP2aP9*ybrowAJ-9*-/Loves.jpg)
KUWA MAKINI KATIKA KUWASHAURI WAPENZI