Vijana washauriwa kuwa na moyo wa kujitolea
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akitoa nasaa zake kwa Vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali hapa nchini Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea Duniani ambapo Tanzania yamefanyika jijini Dar. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP nchini, Awa Dabo akitoa historia ya kujitolea pamoja na kuwasisitiza vijana kuwa na moyo wa kujitolea katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s72-c/01.jpg)
Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBbLlBsHP5o/VCf4iEASEnI/AAAAAAAGmSw/a0Ay_I8KGPw/s1600/02..jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Watanzania washauriwa kuzingatia Afya bora ya Moyo
Ikiwa zimepita siku tatu toka kuhadhimishwa siku ya Moyo duniani mwaka huu, Watanzania wameshauriwa kufanya maamuzi binafsi katika kujali afya ya moyo. Kauli mbiu ya Siku ya Moyo duniani mwaka 2015 inahusu kuchagua afya bora ya moyo kwa kila mtu na kila mahali. Pia inalenga kuonyesha matokeo ambayo mazingira yetu yanaweza kuleta juu ya uwezo wetu wa kufanya maamuzi bora kwa ajili afya bora kwa moyo wa binaadamu. Pia siku hiyo inatumika kuelimisha jinsi ambavyo mazingira tunayoishi yanaweza...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Serikali yahimiza vijana kujitolea
Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo aliyemwakilisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiongea na na Vijana (hawapo pichani) kutoka taasisi mbalimbali na mashirika yasiyokuwa yakiserikali wanaofanyaka kazi za kujitolea kwenye jamii wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea kimataifa yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Siku ya Kujitolea duniani...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0277.jpg?width=650)
SERIKALI YAHIMIZA VIJANA KUJITOLEA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s72-c/huduma-1-768x693.jpg)
WAGONJWA WENYE MATATIZO YA MOYO WASHAURIWA KUHUDHURIA KLINIKI BILA KUKOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s1600/huduma-1-768x693.jpg)
Wataalamu wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha Uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimlaza mgonjwa kabla ya kuzibuliwa mshipa mkubwa wa damu ya moyo ambao haukuwa unapitisha damu vizuri. Upasuaji huo wa bila kufungua kifua unafanyika kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory) ambapo mgonjwa anatobolewa tundu dogo katika mshipa wa damu ulioko kwenye paja.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-2-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-3-1024x683.jpg)
Wataalamu wabobezi wa moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
VIJANA WAHIMIZWA KUJITOLEA KWENYE KAMPENI YA SAFISHA JIJI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uZP8MP1kxC4/VCq-hp1pdbI/AAAAAAAGmxM/C-nDltcEibE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu yamalizika leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZP8MP1kxC4/VCq-hp1pdbI/AAAAAAAGmxM/C-nDltcEibE/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YmAS17XeGd4/VCq-iUeSoDI/AAAAAAAGmxU/Wt7Dxu2Jm_g/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oXiqYXXZ4xU/VJexAauZ3DI/AAAAAAAAOik/0yYvX-ItFgo/s72-c/dsc_0134.jpg)
JKT YATANGAZIA VIJANA WA KUJITOLEA WANAOTAKA KUJIUNGA NA MAFUNZO MWAKA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-oXiqYXXZ4xU/VJexAauZ3DI/AAAAAAAAOik/0yYvX-ItFgo/s640/dsc_0134.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga ametangaza kuwa vijana wote wanaotaka kujiunga na mafunzo ya jeshi la kujenga taifa kwa utaratibu wa kujitolea mwaka 2015, wasidanganyike kwa kupatiwa fomu za kujiunga na mafunzo hayo hivi sasa, na badala yake wafuate utaratibu huu hapa chini.
Bofya hapa
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Vijana washauriwa kuchangamkia fursa
Na Genofeva Matemu, Maelezo
VIJANA katika Halmashauri ya Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, wametakiwa kuimarisha miradi ya mfano inayokopesheka.
Rai hiyo ilitolewa na mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Ester Riwa, katika semina ya ujasiriamali iliyofanyika katika Kata ya Monduli Juu.
Alisema Mfuko wa Maendeleo ya Vijana umekuwa ukiwawezesha vijana, hivyo wanatakiwa kubuni miradi ili waweze kukopesheka.
Ester aliwataka vijana kuwa na mwamko utakaowawezesha...