Wahitimu Mzumbe Mbeya washauriwa kuwa wapambanaji
VIJANA wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuingia katika soko la ajira wakiwa wanajiamini na kujipambanua kiuwezo kutokana na elimu waliyopata chuoni. Akizungumza wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wahitimu Mzumbe washauriwa kutumia elimu kuboresha chuo
WAHITIMU Chuo Kikuu Mzumbe wameshauriwa kutumia elimu waliyoipata katika kuchochea maendeleo ya chuo hicho na ya taifa kwa ujumla. Rais wa Masajili ya chuo hicho, (Mzumbe University Convocation), Ludovick Utouh ambaye pia ni Mkaguzi Mkuu mstaafu wa Hesabu za Serikali, alitoa mwito huo katika mkutano wa masajili ya 15 ya chuo mjini Morogoro mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Wahitimu 3,900 kutunukiwa Mzumbe kuanzia leo
CHUO Kikuu Mzumbe kinatarajia kuwatunuku jumla ya wahitimu 3,943 katika madaraja mbalimbali kuanzia leo. Taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa chuo hicho, Rainfrida Ngatunga, ilieleza mahafali katika kampasi...
10 years ago
Michuzi02 Mar
HAFLA YA KIKUNDI CHA WAHITIMU WA CHUO CHA MZUMBE WALIOMALIZA MASOMO KATIKA KIPINDI KATI YA MWAKA 1992 NA MWAKA 1996 YAFANA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/13.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/24.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/41.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/51.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Vijana washauriwa kuwa na moyo wa kujitolea
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akitoa nasaa zake kwa Vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali hapa nchini Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea Duniani ambapo Tanzania yamefanyika jijini Dar. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP nchini, Awa Dabo akitoa historia ya kujitolea pamoja na kuwasisitiza vijana kuwa na moyo wa kujitolea katika...
11 years ago
Habarileo10 Feb
Washauriwa kuwa makini matumizi ya pampasi
WATOTO wa kike wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya njia ya mkojo, aleji na hata upele kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya pampasi anayovishwa mtoto kumsitiri anapojisaidia na kubaki nayo kwa muda mrefu.
9 years ago
Vijimambo94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA
10 years ago
StarTV05 Jan
Wahitimu JKT waaswa kuwa waadilifu.
Na Mbone Harman,
Tanga.
Wahitimu wa JKT kwa mujibu wa sheria wametakiwa kuyatumia mafunzo waliyoyapata kuwafundisha wanafunzi uadilifu kama sehemu ya kuandaa kizazi kijacho chenye uwezo wa kuipinga rushwa kwa maslahi ya Taifa.
Ni kauli ya mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT Meja Hamadi Malesa wakati wa sherehe ya wahitimu wa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kikosi cha 835 JK kilichopo wilayani Handeni mkoani Tanga.
Wahitimu hao wanatakiwa kuyatumia mafunzo hayo ipasavyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7TlxLQLocTM/VWCFZ8Ux2mI/AAAAAAAHZaM/XKttnV7F0rM/s72-c/2.jpg)
WAHITIMU WAHIMIZWA KUWA NA MTAJI UJUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TlxLQLocTM/VWCFZ8Ux2mI/AAAAAAAHZaM/XKttnV7F0rM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cv6dVg09jOA/VWCFaEFte_I/AAAAAAAHZaQ/MhREFB3Pn1c/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Nov
Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni)
Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.
Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...