WASHIRIKI 20 WA SHINDANO LA BONGO STYLE WAENDELEA KUJIFUA
Washiriki wa shindano la Bongo style kwa upande wa picha wakimsikiliza kwa makini mtaalam wao Sameer Kermalli(wa tatu kulia) akitoa maelekezo wakati wa mafunzo hayo.
Baadhi ya washiriki kwa upande wa picha wakiwa wanasikiliza kwa makini somo
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande akiwa na washiriki wa shindano la Bongo Style ambao hawapo pichani , akiwa na Mratibu wa FASDO Tanzania Joyce Msigwa alipofika kuwatembelea na kuongea nao machache.
BOFYA HAPA KWA PICHA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Hatimaye majaji wachagua washiriki 20 katika shindano la Bongo Style Competition !
Kipande cha Video ya mahojiano hayo.
Kuelekea Shindano la Bongo Style Competition , Ambalo linatarajiwa kufanyika Mwishoni mwa mwezi wa Kumi na moja mwaka huu, Majaji wamefanikiwa kuwapata washiriki ambao wataingia katika Kinyang’anyiro hicho
Akizungumzia Shindano hilo Mratibu wa FASDO Tanzania Joyce Msigwa alisema shindano hilo linalengo la kuibua vipaji vya vijana wenye kati ya umri wa miaka 18-25 katika nyanja za ubunifu mitindo na upigaji picha ili kuwahamasisha kutumia vipaji vyao...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Washiriki wa Dance 100% waendelea kujifua kwa nusu fainali chini ya Vodacom
Mstafa Yahaya mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la “Tatanisha Dancers” la Mabibo jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na nusu fainali ya shindano hilo litakalofanyika Septemba 13 mwaka huu kwenye Viwanja vya Don Bosco Oysterbay. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mshiriki wa shindano la Dance 100% Isyaka Ramadhan wa Kundi la”Tatanisha Dancers” la Mabibo jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEjZNFOBMyY/VAwYuw2SPlI/AAAAAAAGgxo/mjXTMs-PDRo/s72-c/v1.jpg)
WASHIRIKI WA DANCE 100%WAENDELEA KUJIFUA KWA NUSU FAINALI CHINI YA VODACOM
![](http://1.bp.blogspot.com/-WEjZNFOBMyY/VAwYuw2SPlI/AAAAAAAGgxo/mjXTMs-PDRo/s1600/v1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SdT3kEhm2x8/VAwYvqVAZNI/AAAAAAAGgxw/ZyHwUTL3OzA/s1600/v2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhAxeOBAtmF3kpfRDdBkg0ulAo0OYnHXeQK05RI5e83W5hTTwi6ap3LsLzJkBrwKOBSf59KYscF3QqGr1s50cTC/001.MABIBO.jpg)
WASHIRIKI WA DANCE 100% WAENDELEA KUJIFUA KWA NUSU FAINALI CHINI YA VODACOM
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pdk_yl2Uwdg/default.jpg)
20 WACHAGULIWA KUSHIRIKI KATIKA SHINDANO LA BONGO STYLE COMPETITION.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
GPLWIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO
11 years ago
MichuziWIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR WAENDELEA KUJIFUA KUJIANDAA KUWAKABILI WENZAO WA MKOA WA ARUSHA
Mbali na mchezo huo pia timu hizo zinatarajia kufanya shughuli za Kijamii, ikiwa ni pamoja na kutembelea wagonjwa na Vituo vya Albino kwa lengo la kudumisha Amani na Mshikamano...
10 years ago
VijimamboWASHIRIKI 18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015