Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasifu wa rais mteule wa Burkina Faso Marc Kabore

Rais mteule wa Burkina Faso, Roch Marc Christian Kabore ni waziri wa zamani katika utawala wa rais aliyeng'olewa mamlakani Baise Compaore .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Former PM Kabore elected president of Burkina Faso

 Roch Marc Christian Kabore has won Burkina Faso’s presidential election, official results showed, after a year of turmoil that saw the west African country’s former leader deposed and the military try to seize power.

 

9 years ago

BBC

Kabore elected Burkina Faso president

Roch Marc Kabore wins presidential elections in Burkina Faso, official results show, after a year of political turmoil in the country.

 

10 years ago

Tanzania Daima

MICHEL KAFANDO: Rais mteule serikali ya mpito Burkina Faso

NOVEMBA 10 mwaka huu  Burkina Faso   ilikamilisha rasimu ya mkataba ya mpito ambayo ilisababisha upinzani na vyama vya kiraia nchini humo kuafikiana kuhusu baadhi ya vifungu hususan kugawana madaraka katika taasisi mbalimbali...

 

10 years ago

GPL

RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU

Rais Blaise Compaore aliyejiuzulu. RAIS wa Burkina Faso, Blaise Compaore ametangaza kujiuzulu kufuatia vurugu za kisiasa zinazoendelea nchini humo. Jenerali Honore Traore.…

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu

Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.

 

Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata rais wa mpito

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Burkina Faso Michel Kafando, ametajwa kuwa rais wa mpito nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso

Rais wa Senegal Macky Sall na mwenzake wa Benin Boni Yayi wanaelekea Burkina Faso kushauriana na viongozi waliopindua serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata Rais mpya

Roch Marc Christian Kabore ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, kwa mujibu wa tume ya uchaguzi. Amepata zaidi ya asili mia 50

 

10 years ago

BBCSwahili

Jen.Traore ajitangaza rais Burkina Faso

Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso jenerali Honore Traore sasa amejitangaza kuwa rais baada ya kujiuzulu kwa Blaise Compaore

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani