WATAALAMU ANDIKENI MIRADI YA KULISAIDIA TAIFA, KUHIFADHI NA KUENDELEZA URITHI WETU: DKT LWOGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-h0M_CIhrGMA/XqrGiZstBTI/AAAAAAALoqE/NpFepitVJEUOMVWTBu73d-zeadkpFbYRgCLcBGAsYHQ/s72-c/MIRADI1.jpg)
Na Sixmund Begashe
Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt Noel Lwoga amewataka wataalamu wa Tasisi hiyo kuongeza umakini na ubunifu katika kuandika miradi mbalimbali inayo endana na shughuli za msingi za makumbusho.
Dkt Lwoga ametoa wito huo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi utaratibu wa kuwasilisha andiko la miradi katika jopo la wataalamu wa Miradi wa Taasisi hiyo kwa ajili ya kujadiliwa na kufanyiwa maboresho.
Amesema watalaamu hao wanatakiwa kuandika miradi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-G_qX0L-G1ms/VkRmfS6lFtI/AAAAAAAIFa4/_ay2gc-_IpQ/s72-c/FRST-1..jpg)
MIRADI YA MKUHUMI ILIVYOSAIDIA KUHIFADHI MAZINGIRA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-G_qX0L-G1ms/VkRmfS6lFtI/AAAAAAAIFa4/_ay2gc-_IpQ/s640/FRST-1..jpg)
(Jovina Bujulu-MAELEZO) Sekta ya ardhi nchini ni ya kipekee katika uthibiti wa mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa ndiyo sekta pekee ambapo ndipo uzalishaji na uondoaji wa kaboni hutokea.
Mfumo wa matumizi mapana ya ardhi ambao siyo endelevu unapaswa ubadilishwe ili nafasi yake ichukuliwe na matumizi ambayo ni sahihi na endelevu zaidi tofauti na hali ilivyokuwa mwanzo. Hatua hiyo ni pamoja na kutumia vyema ardhi iliyopo kwa kupunguza uzalishaji wa gesi joto unaotokana na...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Tigo yatoa Dola 40,000 kuendeleza miradi ya wajasiriamali-jamii
Balozi wa Sweden nchini, Katarina Rangnitt (wa pili kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya dola za marekani 20,000 kwa mshindi wa shindano la Tigo Reach For Change, Bihage Edward kwenye hafla ya makabidhiano iliyofanyika Dar es Salaam jana. wanaoshuhudia ni Ofisa Mkuu wa Biashara wa Tigo, Shavkat Berdiev (kulia) na Meneja Mkazi wa Reach For Change, Peter Nyanda (kushoto).
![](http://2.bp.blogspot.com/-OwWd2oTFDzg/VnHj4JG40QI/AAAAAAAAXbc/WJOFF8cR1ys/s640/tigo%2Br4c-004.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Jamii yashauriwa kuendeleza miradi inayoanzishwa ili kuvutia wawekezaji
Dwani wa kata ya Ihanja (CCM) Ayubu Noah, akizungumza kwenye hafla ya kata hiyo ya Ihanja, kukabdhiwa ili wauendeleze mradi wa ushiriki wa wanaume katika afya ya uzazi ni chanzo cha mabadiliko katika afya ya mama na mtoto.Kulia ni Afisa tathimini na ufuatiliaji TMEP, George Mutasingwa John na kushoto ni Afisa wa shirika la HAPA, Joseph Mnyambi.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa vijijini tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamehimizwa kujenga utamaduni wa kuendeleza miradi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TAZa2cruaqA/XmuQCb8-0OI/AAAAAAALi8k/F1Ij0GPdqmEyJFbwBwLbgbsJ360eNh1EgCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
FAHAMU KUHUSU PROGRAMU YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARAZA LA AFRIKA NA FAIDA ZAKE KWA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TAZa2cruaqA/XmuQCb8-0OI/AAAAAAALi8k/F1Ij0GPdqmEyJFbwBwLbgbsJ360eNh1EgCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Ndaki ya Sayansi na Elimu Kampasi ya Solomon Mahlangu Prof. Allen Malisa (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa kuhusu makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini yaliyopo Kampasi ya Solomon Mahlangu Mazibu mkoani Morogoro.
………………………………………………
Na Anitha Jonas – WHUSM
Dar es Salaam.
Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-37yKf8xVRi0/U76ZqKRsauI/AAAAAAAF0eg/Fz1yXKTcn8w/s72-c/unnamed+(10).jpg)
MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR'AN TUKUFU YA TAIFA 2014 - AISHA SURURU FOUNDATION
![](http://1.bp.blogspot.com/-37yKf8xVRi0/U76ZqKRsauI/AAAAAAAF0eg/Fz1yXKTcn8w/s1600/unnamed+(10).jpg)
Mwaka huu Aisha Sururu Foundation imeshirikisha mikoa 9 ya Tanzania ikiwemo visiwa vya Zanzibar na Pemba ambapo vijana...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA PETROGAS YAENDESHA MAFUNZO YA UANDAAJI WA MAPENDEKEZO YA MIRADI KWA WATAALAMU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
9 years ago
Bongo509 Oct
Morali ya biashara na ujasiri wa kufanya miradi mipya kwa wasanii wetu ifufuliwe!
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Tuwashirikishe wenye ulemavu kuendeleza uchumi wa taifa
ULEMAVU unaweza kumtokea mtu yeyote bila kutarajia katika mwili iwe kwenye macho, miguu, mikono, masikio, akili au ngozi. Kuna sababu nyingi zinazosababisha ulemavu, ikiwa ni pamoja na ajali, matumizi ya...
5 years ago
MichuziMKUTANO WA WATAALAMU WA NISHATI NCHI ZA SADC WAFUNGWA LEO JIJINI DAR,WAPITISHA SHERIA RASMI ZA KUSIMAMIA MIRADI YA KIMKAKATI
Hayo yamesemwa leo Ijumaa (Februari 28,2020) Jijini Dar es Salaama na Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati,Adam Zuberi wakati akifunga mkutano wa siku nne wa Kamati ya Wataalamu wa Nishati...