Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIRADI YA MKUHUMI ILIVYOSAIDIA KUHIFADHI MAZINGIRA.


               (Jovina Bujulu-MAELEZO) Sekta ya ardhi nchini ni ya kipekee katika uthibiti wa mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa ndiyo sekta pekee ambapo ndipo uzalishaji na uondoaji wa kaboni hutokea.
Mfumo wa matumizi mapana ya ardhi ambao siyo endelevu unapaswa ubadilishwe ili nafasi yake ichukuliwe na matumizi ambayo ni sahihi na endelevu zaidi tofauti na hali ilivyokuwa mwanzo. Hatua hiyo ni pamoja na kutumia vyema ardhi iliyopo kwa kupunguza uzalishaji wa gesi joto unaotokana na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAMEASWA KUHIFADHI MAZINGIRA.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akifungua Mkutano wa wadau wa mazingira unaohusu Miradi ya majaribio nchini wa Mkakati wa Kupunguza Uharibifu wa Misitu (MKUHUMI) leo jijini Dar es salaam.  Kiongozi wa wawezeshaji kutoka Asasi isiyo ya kiserikali ya Niras kutoka Finland inayosimamia Miradi ya majaribio nchini wa Mkakati wa Kupunguza Uharibifu wa Misitu (MKUHUMI) Merja Makela akitoa mada wakati wa mkutano wa wadau wa mazingira kuhusu namna bora ya kuhifadhi mazingira na...

 

5 years ago

Michuzi

SIMA AWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUHIFADHI MAZINGIRA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akizungumza na wachimbaji wadogo wa Sekenke 1 wilayani Iramba mkoani Singida alipofanya ziara ya kukagua namna wanavyohifadhi mazingira katika shughuli zao pamoja na kutoa elimu kuhusu madhara yanayoweza kutokea katika matumizi ya zebaki kwenye uchenjuaji wa dhahabu.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima (wa tatu kulia mwenye Kaunda suti) akipata maelezo kuhusu mchakato...

 

5 years ago

Michuzi

JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA


JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU ANDIKENI MIRADI YA KULISAIDIA TAIFA, KUHIFADHI NA KUENDELEZA URITHI WETU: DKT LWOGA


Na Sixmund Begashe

Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt Noel Lwoga amewataka wataalamu wa Tasisi hiyo kuongeza umakini na ubunifu katika kuandika miradi mbalimbali inayo endana na shughuli za msingi za makumbusho.

Dkt Lwoga ametoa wito huo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi utaratibu wa kuwasilisha andiko la miradi katika jopo la wataalamu wa Miradi wa Taasisi hiyo kwa ajili ya kujadiliwa na kufanyiwa maboresho.

Amesema watalaamu hao wanatakiwa kuandika miradi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali haifadhili miradi ya mazingira

OFISI ya Makamu wa Rais imesema haina fedha za kuwasaidia vijana katika miradi ya kuhifadhi mazingira. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Charles Kitanga alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Miradi Nyanda za Juu yatekelezwa bila vyeti vya mazingira

ASILIMIA 87 ya miradi ya 124 ya uzalishaji na maendeleo iliyokaguliwa katika mikoa ya Nyanda Juu Kusini inatekelezwa bila ya kuwa na vyeti vya mazingira.

 

10 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KUINUA VIPAJI VYA KUHIFADHI QURAN JIMBO LA KIKWAJUNI YANDAA MASHINDANO MADOGO YA KUHIFADHI QURAN

 M.C. wa shughuli  Ustaadh Khamis Ameir akisoma utaratibu wa mashindano madoga ya kuinua vipaji ya kuhifadhi Quran ya Jimbo la Kikwajuni yaliyofanyika uwanja wa Alabama Michenzani Mjini Zanzibar. Mwafunzi Ramla Khamsin Jafar wa madrasati Nurul-iman akionyesha jitihada zake katika mashindano ya kuhifadhi yaliyofanyika ya Jimbo la Kwahani.  Baadhi ya washiriki wakifuatilia kwa kina mashindano hayo. Jaji kiongozi Abushayth Daud Mohudhar akitoa matokeo ya mashindano hayo. Mgeni rasmin Mbunge wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YATEKELEZA MIRADI YAKE

MAKALA MAALUMU YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) .KUONESHA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALIMBALI YA MAJI PAMOJA NA JITIHADA ZA MAMLAKA HIYO KATIKA KUHAKIKISHA INAFIKISHA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MJI WA MOSHI NA MAENEO JIRANI INAYO HUDUMIA KWA MUDA WA SAA 24.
Video ya Makala haya imeandaliwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYA ZA KANDA YA ZIWA ZINAZOTEKELEZA MIRADI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

 Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Abdulla Juma Saadalla akitembelea  Bandari ya Mwanza Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Abdulla Juma Saadalla akioneshwa kiwanja kitakachotumika kujenga kituo cha utafutaji na uokoaji katika ziwa Victorai (MRCC) njini Mwanza.
Na Faraja Mgwabati Mheshimwa Dkt.Abdulla Juma Abdulla Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki amehitimisha ziara yake ya Siku sita kitika Wilaya  zinazotekeleza miradi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani