MIRADI YA MKUHUMI ILIVYOSAIDIA KUHIFADHI MAZINGIRA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-G_qX0L-G1ms/VkRmfS6lFtI/AAAAAAAIFa4/_ay2gc-_IpQ/s72-c/FRST-1..jpg)
(Jovina Bujulu-MAELEZO) Sekta ya ardhi nchini ni ya kipekee katika uthibiti wa mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa ndiyo sekta pekee ambapo ndipo uzalishaji na uondoaji wa kaboni hutokea.
Mfumo wa matumizi mapana ya ardhi ambao siyo endelevu unapaswa ubadilishwe ili nafasi yake ichukuliwe na matumizi ambayo ni sahihi na endelevu zaidi tofauti na hali ilivyokuwa mwanzo. Hatua hiyo ni pamoja na kutumia vyema ardhi iliyopo kwa kupunguza uzalishaji wa gesi joto unaotokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-id4m-UPHsEI/VcoOUP0PMNI/AAAAAAAHwEY/x9iYGM-Rwlw/s72-c/01.jpg)
WATANZANIA WAMEASWA KUHIFADHI MAZINGIRA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-id4m-UPHsEI/VcoOUP0PMNI/AAAAAAAHwEY/x9iYGM-Rwlw/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m9uQCyib2YU/VcoOdqJ6zCI/AAAAAAAHwEg/6Y7PmlQFUZs/s640/02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kRf2v75j8PM/XkzzHKYjJ1I/AAAAAAALePw/1OlUdneqF84AVMkTtkJ_xX6RrftzjejlACLcBGAsYHQ/s72-c/1-36.jpg)
SIMA AWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUHIFADHI MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kRf2v75j8PM/XkzzHKYjJ1I/AAAAAAALePw/1OlUdneqF84AVMkTtkJ_xX6RrftzjejlACLcBGAsYHQ/s640/1-36.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-32.jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima (wa tatu kulia mwenye Kaunda suti) akipata maelezo kuhusu mchakato...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0M_CIhrGMA/XqrGiZstBTI/AAAAAAALoqE/NpFepitVJEUOMVWTBu73d-zeadkpFbYRgCLcBGAsYHQ/s72-c/MIRADI1.jpg)
WATAALAMU ANDIKENI MIRADI YA KULISAIDIA TAIFA, KUHIFADHI NA KUENDELEZA URITHI WETU: DKT LWOGA
Na Sixmund Begashe
Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt Noel Lwoga amewataka wataalamu wa Tasisi hiyo kuongeza umakini na ubunifu katika kuandika miradi mbalimbali inayo endana na shughuli za msingi za makumbusho.
Dkt Lwoga ametoa wito huo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi utaratibu wa kuwasilisha andiko la miradi katika jopo la wataalamu wa Miradi wa Taasisi hiyo kwa ajili ya kujadiliwa na kufanyiwa maboresho.
Amesema watalaamu hao wanatakiwa kuandika miradi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Serikali haifadhili miradi ya mazingira
OFISI ya Makamu wa Rais imesema haina fedha za kuwasaidia vijana katika miradi ya kuhifadhi mazingira. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Charles Kitanga alisema...
10 years ago
Habarileo14 Sep
Miradi Nyanda za Juu yatekelezwa bila vyeti vya mazingira
ASILIMIA 87 ya miradi ya 124 ya uzalishaji na maendeleo iliyokaguliwa katika mikoa ya Nyanda Juu Kusini inatekelezwa bila ya kuwa na vyeti vya mazingira.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zHd8XI1DWDc/Vaa1GBasV-I/AAAAAAAHp_g/FfQH3eUNH_s/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
JUMUIYA YA KUINUA VIPAJI VYA KUHIFADHI QURAN JIMBO LA KIKWAJUNI YANDAA MASHINDANO MADOGO YA KUHIFADHI QURAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-zHd8XI1DWDc/Vaa1GBasV-I/AAAAAAAHp_g/FfQH3eUNH_s/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAc-eN6Op6Y/Vaa1GHlQkqI/AAAAAAAHp_c/o4jcq9PN-r4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jq1Ed6teyxc/Vaa1GewOcUI/AAAAAAAHp_k/19k8V_whpYk/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k_02z-O8_KM/Vaa1GgkMlWI/AAAAAAAHp_o/DV6ciki9VAo/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7kaqaxXsbWk/Vaa1HNmUF5I/AAAAAAAHqAI/IXJ5_qYslqA/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi16 Jan
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YATEKELEZA MIRADI YAKE
Video ya Makala haya imeandaliwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qXcy0Bno35A/UvcmYJgtrDI/AAAAAAAFL5U/5MS73ZdZLSs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYA ZA KANDA YA ZIWA ZINAZOTEKELEZA MIRADI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qXcy0Bno35A/UvcmYJgtrDI/AAAAAAAFL5U/5MS73ZdZLSs/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDoyjNhFF1k/UvcmYCZmrYI/AAAAAAAFL5Y/0ph29wAZYu0/s1600/unnamed.jpg)
Na Faraja Mgwabati Mheshimwa Dkt.Abdulla Juma Abdulla Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki amehitimisha ziara yake ya Siku sita kitika Wilaya zinazotekeleza miradi ya...