Wataalamu wa mipangomiji watakiwa kutobadili mipango inayowekwa na wadau wa maendeleo
Baadhi ya viongozi wa serikali za mitaa katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa na wawezeshaji kwenye mkutano wa uwasilishaji wa mpango wa jumla(Master plan) na kujenga uwezo juu ya utekelezaji wa uendelezaji miji (ULGS) uliofanyika kwenye majengo ya Chuo cha Ufundi cha VETA mjini Singida.
Baadhi ya wadau mbali mbali wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida waliohudhuria kwenye mkutano wa uwasilishaji wa mpango wa jumla (Master plan) na kujenga uwezo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2vudmYvNVfA/XvcCH2U62-I/AAAAAAALvrI/fwJ8FRjZ0RQ1kKREhlAFi9RmxPZRU47EQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-57.jpg)
WAKURUGENZI H/M WATAKIWA KUWATUMIA WATAALAMU WA OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2vudmYvNVfA/XvcCH2U62-I/AAAAAAALvrI/fwJ8FRjZ0RQ1kKREhlAFi9RmxPZRU47EQCLcBGAsYHQ/s640/1-57.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-39.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akifafanua jambo kwa Mpima wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Iringa Makuka Mkasa wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi mkoa wa Iringa jana. Wengine katika picha wa pili kushoto ni...
11 years ago
Mwananchi05 May
Shein ahimiza vipaumbele mipango ya maendeleo
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Wakulima watakiwa kufuata ushauri wa wataalamu na kufanyia kazi mafunzo wanayopewa
Afisa Kilimo daraja la kwanza wa halmashauri ya Mbulu, Peter Sangawe akiwa anaomuonyesha Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dk. Joel Bendera jinsi ya kuifadhi nafaka bila kutumia kemikali.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dk .Joel Bendera akiwa anakagua vitunguu vinavyolimwa na halmmashauri ya Mbulu.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xZ3rvvBaKiI/VhZreV44uGI/AAAAAAAH93U/1GxSgbq7qM8/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
TUNAJITAHIDI KUTEKELEZA SERA NA MIPANGO YA MAENDELEO JUMUISHI -TANZANIA
9 years ago
VijimamboTUNAJITAHIDI KUTEKELEZA SERA NA MIPANGO YA MAENDELEO JUMUISHI-TANZANIA
Na Mwandishi Maalum, New YorkIkiwa ni Wiki moja kupita tangu...