Watafuta mwekezaji Temeke Mwisho
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ipo katika mchakato wa kumtafuta mwekezaji atakayefanikisha ujenzi wa kituo cha biashara katika eneo la Temeke Mwisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Shule ya msingi kuvunjwa wilayani Temeke kumpisha mwekezaji
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Watafuta kazi wakutana na kifo
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Nuh, Shilole Watafuta Mtoto
Nuh Mziwanda, baada ya kuvuka kihunzi cha skendo ya kumpachika mimba binti, na kupelekea msukosuko katika penzi lake na Shilole, hatimaye ameongea na eNewz na kueleza mipango yake ya kuzaa mtoto na Shilole.
Nuh ameileza eNewz kuwa, yeye pamoja na Shilole wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi, huku akiweka mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.
Eatv.tv
10 years ago
MichuziMakundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-XPdO8YyqAFc/VbW6nkYPD1I/AAAAAAAAa-A/BKGhxcxMLwU/s640/Kati%2Bya%2Bmakundi%2Bmatano%2Byaliyopita%2Bkwenye%2Busajili%2Bwa%2Bkwanza%2Bwa%2BDance%2B100%2525%2B%25282015%2529%2B-%2BTemeke.%2BKundi%2Blinaitwa%2B%2527The%2BBest%2BBoys%2BKaka%2BZao%2527.jpg)
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.
Mratibu wa...
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Wachunguzi watafuta chanzo cha moto Dubai
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Wastaafu Bandari watafuta huruma ya Waziri Sitta
9 years ago
Mtanzania20 Aug
ACT watafuta wadhamini kwa mgombea urais kivuli
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha ACT –Wazalendo kimetuma timu ya viongozi wake kutafuta wadhamini wa mgombea urais ambaye hadi sasa hajapatikana.
Akizungumzia hilo jana kwa njia ya simu, Ofisa Habari wa chama hicho, Abdallah Khamis, alisema suala la mgombea urais kwa chama hicho bado lipo palepale na linatarajia kutatuliwa kwenye kikao cha Kamati Kuu.
“Kwa kuwa tunaamini kwamba lazima tusimamishe mgombea urais, imekuwa sababu kubwa kuanza safari za kuzunguka mikoani kumtafutia...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE