Watalaamu vyuo vya Kiislamu kukutana Z,bar
Na Antar Sangali, Zanzibar
Wataalamu 40 kutoka vyuo vikuu tisa vya Kiislamu vya Nchi za Afrika Mashariki na Malasyia watakutana Zanzibar kujadili maendeleo ya mitaala pamoja na kuangalia njia bora za kuwaepusha wanafunzi kutojihusiaha na matumizi mabaya ya mitandao ya jamii inayochangia kuwaingiza katika ugaidi na uhalifu.
Akizungumza mjini hapa, jana, Profesa Abdulrahaman Hikmany wa Chuo Kikuu cha Al Sumait cha Zanzibar, alisema mkutano huo wa kimataifa utaanza April 18 hadi 19, mwaka...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
11 years ago
Habarileo16 Dec
Wanafunzi vyuo vikuu Z’bar wanusurika ajalini
WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu vya Zanzibar leo wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka katika michezo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
10 years ago
GPLKONGAMANO LA WANAFUNZI WA VITIVO VYA MASOKO NA BIASHARA VYUO VIKUU VYA DAR LILIVYOFANA
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
10 years ago
MichuziGLOBAL EDUCATION LINK YAVIALIKA VYUO KIKUU VYA SHARDA NA LOVELY PROFESSIONAL VYA INDIA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Ulaji mkaa, changamoto na maoni ya watalaamu kiafya
9 years ago
VijimamboWAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Aug
JK kukutana na vyama vya siasa
Katika hatua nyingine, Rais Kikwete, anatarajiwa kukutana na viongozi wa vyama vinayounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo, alisema jana kuwa Rais Kikwete atakutana na viongozi wa vyama hivyo wiki hii baada ya ombi lao kukubaliwa.
Viongozi hao waliazimia kutafuta nafasi ya kuonana na Rais Kikwete kwa lengo la kushauriana naye na tunashukuru amekubali na tutakutana naye wiki hii, alisema Cheyo.
TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni ambavyo ni CCM,...