Ulaji mkaa, changamoto na maoni ya watalaamu kiafya
Limekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya watu hasa wanawake kupenda kutafuna vitu kama udongo na chaki wakiona kama starehe kwao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Changamoto za kiafya na kisaikolojia kwa ‘single mothers’-2
Ni kweli kabisa kwamba malezi ya mzazi mmoja wakati wote ni yenye changamoto sana kwa mzazi mwenyewe na hata kwa watoto. Hapa namaanisha malezi ya baba peke yake au ya mama peke yake “single mothersâ€.
10 years ago
Mwananchi26 May
MAONI: Mataifa yashughulikie changamoto za Burundi
>Tumeandika mara kadhaa kuhusu hali ya amani ilivyotetereka Burundi. Mara zote tumejitahidi kutoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuongeza juhudi za usuluhishi na upatanishi kati ya wapinzani na Serikali ya Burundi ili isiendelee kuzalisha wakimbizi.
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Watalaamu vyuo vya Kiislamu kukutana Z,bar
Na Antar Sangali, Zanzibar
Wataalamu 40 kutoka vyuo vikuu tisa vya Kiislamu vya Nchi za Afrika Mashariki na Malasyia watakutana Zanzibar kujadili maendeleo ya mitaala pamoja na kuangalia njia bora za kuwaepusha wanafunzi kutojihusiaha na matumizi mabaya ya mitandao ya jamii inayochangia kuwaingiza katika ugaidi na uhalifu.
Akizungumza mjini hapa, jana, Profesa Abdulrahaman Hikmany wa Chuo Kikuu cha Al Sumait cha Zanzibar, alisema mkutano huo wa kimataifa utaanza April 18 hadi 19, mwaka...
10 years ago
VijimamboKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBAâ€
KITUO cha Sheria na Haki za...
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.… ...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s72-c/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
MKAA MBADALA NI UKOMBOZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s400/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.
Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
RC ashangaa mkaa kuingiza mapato
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa ameishangaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kuweka ushuru wa mkaa kama eneo la ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutaka biashara hiyo ikome kwa sababu madhara yake ni makubwa katika uharibifu wa mazingira.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania