Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania kulia au kucheka leo, shilingi yaendelea kuporomoka

Kwa wananchi wa kawaida au wafanyabishara wadogo wasionunua au kuuza bidhaa zao nje ya nchi, huenda wasifahamu kiundani kinachoendelea kuhusu thamani ya Shilingi ya Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani Shilingi inahujumiwa na Mabenki?

Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani

Shilingi inahujumiwa na Mabenki? – Zitto Kabwe[1]

Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu. Nilieleza “Shilingi kuporomoka dhidi ya dola na kuvuka 1$/2000TS kunasababishwa na sababu kadhaa 1) Woga wa uchaguzi na hivyo Dola nyingi kutoingia nchini (FDI etc) kusikilizia Serikali ijayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka

Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka kwa asilimia 20 dhidi ya dola ya Kimarekani,na kuathiri mitaji ya uwekezaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?

TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh.  500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika  baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...

 

10 years ago

Mwananchi

Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani

>Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI KIVULI WA FEDHA, JAMES MBATIA AZUNGUMZIA KUPOROMOKA KWA THAMANI YA SHILINGI TANZANIA

 Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia. Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Ofisi Ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo, kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.(Imeandaliwa na mtandao wa http://www.habarizajamii.com/)

 

11 years ago

GPL

NANI KUCHEKA LEO, YANGA AU AZAM?

TIMU ya Yanga SC leo inavaana na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara utakaopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Kitendawili kinabaki ni nani kati yao ataibuka kidedea katika mtanange huo ambapo kila mmoja anawania kutwaa ubingwa wa ligi hiyo. Usikose kuungana nasi, kujua nini kinaendelea mpira ukianza!

 

5 years ago

Michuzi

JERRY MURO AWATAKA MASHABIKI KUACHA KULIA, KUANZIA LEO HAKUNA KUHUJUMIWA

Aliyekuwa Afisa habari wa Klabu ya Yanga, Jerry Muro amewaomba mashabiki wa Klabu ya Yanga kujitokeza  kwa wingi kwenye mchezo wa kombe la Azam Sports Federation Cup dhidi ya Gwambina FC inayoshiriki ligi Daraja la kwanza (FDL) uwanja wa Taifa Dar..

Muro ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, yuko likizo na ameamua kuitumia likizo yake kuungana na viongozi kurejesha amsha-amsha

Aesema kuanzia sasa mashabiki wa Yanga watembee kwa amani kwa sababu amerejea na password ya ushindi.

Amesema...

 

9 years ago

Vijimambo

CCM WANAENDELEA KUPIGA KUSHOTO NA KULIA,MWIGULU NDANI YA KAHAMA ,USHETU NA MSALALA HII LEO

Mwigulu Nchemba Mjumbe wa kamati ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi akimnadi Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Msalala Ndg.Maige."Ilani ya Chama cha Mapinduzi imeweka bayana kuwa itajenga Reli ilikurejesha huduma za Kiuchumi zilizosimama kwa muda,Kwa hapa Msalala ujenzi wa Bandari kavu utaanza mapema baada ya kuanza kwa matumizi ya reli kama alivyoahidi magufuli.Hivyo wananchi mchagueni Magufuli akasimamie Ujenzi wa Reli,Ujenzi wa bandari kavu,Ujenzi wa barabara ya Rami kutoka Msalala kwenda...

 

11 years ago

Michuzi

M-PESA YAENDELEA KURAHISISHA HUDUMA KWA WATANZANIA

Dar es Salaam,Tanzania Juni 10, 2014 , Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2008, huduma ya M pesa imendelea kuwa huduma yenye mafanikio zaidi katika utoaji wa huduma za kifedha huku ikiwanufaisha watanzania ambao wanauwezo wa kutuma na kupokea pesa kupitia mawakala zaidi ya 70,000, walioenea nchini kote.
Akizungumzia mafanikio ya huduma hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza amesema kuwa tangu kuanzishwa kwake, huduma hiyo imeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya huduma za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani