Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania tumewatuma kujadili Katiba si posho

NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Kikwete kuwateua wajumbe hao japo kwa matendo yao nalazimika kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Posho za Bunge la Katiba kufuru

SIKU chache tu baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza majina ya wajumbe walioteuliwa kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba, posho za wabunge hao kwa siku ni kufuru. Habari ambazo gazeti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba wagomea posho

JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi za umma limezidi kushika kasi baada ya jana wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waongezewe posho zaidi....

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Posho zazua balaa

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Fredy Azzah, Dodoma

WAKATI vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini hapa, kundi la wajumbe wa Bunge hilo limeibuka na kulalamikia hatua ya kutolipwa posho za kujikimu.

Kutokana na hali hiyo    wajumbe hao ambao hawakuwa tayari kutajwa majina yao gazetini, wamedai wamekuwa wakiishi maisha ya tabu hali inayochangiwa na Ofisi ya Bunge Maalumu kushindwa kuwalipa posho za siku 11...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali isitishe posho Bunge la Katiba’

SERIKALI imeombwa kuzuia malipo ya posho kwa wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba, badala yake fedha hizo zielekezwe katika huduma za jamii. Kauli hiyo ilitolewa juzi wilayani Rorya mkoani Mara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Uzalendo na posho (2)

BUNGE Maalumu la Katiba limeanza kazi iliyokusudiwa! Hata hivyo, matarajio ya wananchi wengi yameanza kuingia shaka kubwa baada ya wabunge kuanza madai ya nyongeza ya posho za vikao badala ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho Bunge la Katiba yaundiwa tume

SAKATA la nyongeza ya posho limechukua sura mpya baada ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kuunda kamati ya watu sita kulishughulikia. Kificho alisema kamati...

 

11 years ago

Mwananchi

Wapo Dodoma kuchukua posho au kuandika Katiba?

Nina wasiwasi na uwakilishi wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ninajiuliza je, wataweza kutimiza jukumu walilopewa na Watanzania na Rais Jakaya Kikwete la kusimamia mchakato wa kupata Katiba Mpya au la?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aibu wajumbe Bunge la Katiba kulalamikia posho

MIJADALA ya siku mbili tu tangu Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza kikao chake mjini Dodoma, inatia shaka kama kweli wawakilishi hao walioteuliwa na rais watatimiza lengo ambalo Watanzania wanalitarajia la...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Zengwe’ la posho lazidi kulizonga #Bunge la #Katiba

Wabunge mbalimbali walisikika leo asubuhi wakisema kuwa kiwango hicho cha Sh 220,000 ni kidogo sana, hali inayofanya washindwe kumudu gharama za maisha mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani