Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania tumieni fursa za migodini - Rai

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Udhibiti na Ukaguzi wa Uzalishaji na Biashara ya Madini kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Mhandisi Liberatus Chizuzu amewahimiza Watanzania kutumia fursa za kufanya biashara katika kampuni za migodi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Tumieni ipasavyo fursa za madini, gesi, mafuta’

WATANZANIA wametakiwa kubadilika kifikra kwa kutumia ipasavyo fursa zilizopo katika tasnia ya madini, mafuta na gesi ili kujiletea maendeleo na kakabiliana na changamoto zake. Wito huo umetolewa na Mshauri Mwandamizi wa Kanda wa Masuala ya Mapato wa Taasisi ya Revenue Watch (RWI), Silas Ola'g .

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC KANGOYE: Vijana tumieni fursa za kiuchumi zilizopo kujiajiri

MATAIFA mengi duniani hutegemea vijana katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa. Sehemu zote yalipofanyika mageuzi ya kiuchumi, vijana walijitolea nguvu zao katika taifa husika. Vijana wengi wanaomaliza elimu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wasanii, tumieni fursa kwa sauti moja, mueleweke...

>Tofauti na zamani, katika zama hizi za sanaa ya kizazi kipya, kila ukikutana na msanii, ukasema mpoteze muda kuongea mambo mawili matatu, lazima katikati ya maongezi yenu atakuingizia suala la jinsi sanaa inavyochukuliwa rahisi rahisi nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watanzania tumieni mfumo wa KAIZEN kuleta tija’

WATANZANIA wameshauriwa kujifunza na kuutumia mfumo wa KAIZEN ambao unalenga kuongeza tija katika utendaji kazi, kuleta ufanisi wa uzalishaji na ubora, ili kuchochea maendeleo nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

Michuzi

WAJASIRIMALI TUMIENI FURSA YA KUJIUNGA NA NHIF KWA KUCHANGIA SH.78,600 KWA MWAKA

 Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Mkoa wa Kinondoni ,Grace Temba akizungumza leo na wajasirimali wa Mkoa wa Kinondoni (hawapo pichani) juu ya faida ya kujiunga na mfuko huo kupitia Mtandao wa ASEE iliyofanyika katika ukumbi Pricess ,Sinza Jijini Dar es Salaam.

 Afisa Matekelezo na Uratibu wa NHIF,Catherine Masingisa akitoa maada kwa wajasirimali wa Mkoa wa Kinondoni (hawapo pichani) namna ya kujiunga  na mfuko wa Bima ya Afya  kupitia vikundi vya ujasiriamali iliyofanyika Katika Ukumbi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Balozi: Watanzania tumieni vizuri maonesho ya ubunifu ya Oman

WATANZANIA wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea nchini Oman, wametakiwa kuitumia vyema fursa ya kimataifa waliyoipata kwa kufuata vyema miongozo waliyopewa ili ziara yao iweze kuleta tija.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji

IMG_4489

IMG_4507

Ofisa utumishi Mkuu  Wilaya ya kinondoni  Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe  kuashiaria  uzinduzi  wa Hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikana Sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki wa Hoteli hiyo Bwana Obadia Mtewele na Mkewe Joyce Msigwa hoteli hiyo ya kisasa inayo uwezo wa kupokea wageni  kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.

IMG_4494

Muhudumu aliye fuzu katika kazi za Hoteli akiandaa vyombo kwa ajili ya wageni.

IMG_4492

 

11 years ago

Mwananchi

Oman na fursa chekwa za uwekezaji kwa Watanzania

Wakiwa na matumaini ya makubwa kwa Watanzania, jopo la wafanyabiashara kutoka Oman wapo nchini kusaka fursa za uwekezaji katika sekta ya chakula na mifugo.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Mwakyembe ahimiza watanzania kuchangamkia fursa

TATIZO la Watanzania kushindwa kuziwahi fursa duniani, kunafanya mataifa mengine kuwahi kuzitumia fursa ambazo watanzania ndio wangeliweza kuzichukua na kufaidika nazo.Aidha imeelezwa kuwa kutokana na tatizo hilo upo uwezekano mkubwa duniani wa Kiswahili ambacho ni fursa kwa watanzania kusambazwa na taifa la China kutokana na juhudi kubwa zinazofanywa na taifa hilo.Kauli hizo zimetolewa na Waziri wa Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni, Dk Harrison Mwakyembe wakati akizindua taarifa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani