WATANZANIA WALIOPO WUHAN WAPO SALAMA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXaqdStwolQ/XklxlLsc5SI/AAAAAAALdms/pG6b_TER8BgxaJCdsZBMtVpQuXqFfE9TACLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault-3.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema vijana wa Tanzania wapatao 497 wanaosoma katika vyuo mbalimbali vilivyoko kwenye mji wa Wuhan nchini China wote wapo salama.Kwa sasa Mji wa Wuhan umewekewa zuio hakuna mtu anayeruhusiwa kutoka wala kuingia, lengo likiwa ni kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi hivyo. Mlipuko wa virusi vya corona ulianzia katika mji wa Wuhan.
Ametoa kauli hiyo leo (Jumapili, Februari 16, 2020) kwenye Kumbukumbu ya Mazazi ya Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayh...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Coronavirus: Kenya yabadili msimamo wake wa kuwarudisha nyumbani wanafunzi waliopo Wuhan China
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Bakwata: Mahujaji wapo salama
5 years ago
CCM Blog19 Mar
WATU 27 WALIOCHUKULIWA SAMPULI VIRUSI VYA CORONA WAPO SALAMA
![Watu 27 waliochukuliwa sampuli ya vipimo vya Corona Tanzania, wako salama](https://media.parstoday.com/image/4bv74cc8c616271mcir_800C450.jpg)
Watu 27 ambao waliliochukuliwa sampuli za vipimo vyao vya afya ili kuwachunguza iwapo wameambukizwa virusi vya Corona Covid-19, wapo salama.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko katika Wizara ya Afya, Dk Janeth Mghamba akiwa na mtaalam wa majanga wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Faraja Msemwa. Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha, maafisa hao wa Wizara ya Afya nchini Tanzania, wamesema watu hao 27 walichukuliwa sampuli baada...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
SERIKALI KUWARUDISHA NCHINI WATANZANIA WALIOPO YEMEN
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c2/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg/2000px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali kuwarudisha nchini Watanzania waliopo Yemen
Mhe....
10 years ago
Mtanzania20 May
Serikali yazungumzia hatima ya watanzania waliopo Burundi
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
SERIKALI imesema itawaondoa Watanzania walioko Burundi baada ya kupata maombi yao kama wana matatizo kutokana na vurugu ambazo zimekuwa zikiendelea nchini humo kwa wiki kadha sasa.
Machafuko nchini humo yalianza baada ya Rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwa atawania awamu ya tatu katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mkuu wa Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mindi Kasiga, alisema...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
Chadema yaitaka Serikali kuangalia Watanzania waliopo Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi17 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cnp9dFEIHt8/VJcemcGbOlI/AAAAAAAG458/MgQO_jyZFUU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
sherehe ya kuwakaribisha wanafuzi wapya Watanzania huko Wuhan, China
![](http://4.bp.blogspot.com/-cnp9dFEIHt8/VJcemcGbOlI/AAAAAAAG458/MgQO_jyZFUU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-24CY2ZPPnMs/VJcel8v6lqI/AAAAAAAG450/FJlPymuRBUk/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Nc9gHeJ0U4/VJcemOCWorI/AAAAAAAG454/C4LrkKM537Q/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pgrFRV2hbOk/VJcentHFYaI/AAAAAAAG46A/GPoM7akX8D8/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xvu99H2A-GM/VJceoJFt2sI/AAAAAAAG46I/G4bgDlJXkEA/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7INl8vtFYeA/VJceoX88TvI/AAAAAAAG46M/dH8LPeJhqJA/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Virusi vya corona: Jinsi wuhan wanavyosalimiana 'wuhan shake'