Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bakwata: Mahujaji wapo salama

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema mahujaji wote wa Tanzania waliokwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hijja wako salama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mufti: Mahujaji wa Tanzania wako salama

LICHA ya ongezeko la vifo vya mahujaji katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia, imeelezwa kuwa, hakuna taarifa za vifo vya Waislamu wa Tanzania waliokwenda kutekeleza Ibada ya Hijja nchini humo.

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA WALIOPO WUHAN WAPO SALAMA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema vijana wa Tanzania wapatao 497 wanaosoma katika vyuo mbalimbali vilivyoko kwenye mji wa Wuhan nchini China wote wapo salama.Kwa sasa Mji wa Wuhan umewekewa zuio hakuna mtu anayeruhusiwa kutoka wala kuingia, lengo likiwa ni kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi hivyo. Mlipuko wa virusi vya corona ulianzia katika mji wa Wuhan.
Ametoa kauli hiyo leo (Jumapili, Februari 16, 2020) kwenye Kumbukumbu ya Mazazi ya Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayh...

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 27 WALIOCHUKULIWA SAMPULI VIRUSI VYA CORONA WAPO SALAMA

Watu 27 waliochukuliwa sampuli ya vipimo vya Corona Tanzania, wako salama
Watu 27 ambao waliliochukuliwa sampuli za vipimo vyao vya afya ili kuwachunguza iwapo wameambukizwa virusi vya Corona Covid-19, wapo salama.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko katika Wizara ya Afya, Dk Janeth Mghamba akiwa na mtaalam wa majanga wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Faraja Msemwa. Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha, maafisa hao wa Wizara ya Afya nchini Tanzania, wamesema watu hao 27 walichukuliwa sampuli baada...

 

9 years ago

Michuzi

news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.

 Krini ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah ambao uliangukiwa na kusababisha vifo vya mahujaji 107. 


Kufuatia mvua  ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.  

Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa. 

Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAKWATA yachunguza ubadhirifu

KATIBU wa Baraza la Waislamu  Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi  tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...

 

9 years ago

Mtanzania

TRA yatua Bakwata

Mufti Abubakar Zuberi*Wadaiwa kuingiza magari 82 kwa misamaha ya kodi

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RUNGU la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limeonekana kushika kasi  na safari hii limeangukia kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).

Kwa mujibu wa barua ya TRA, Bakwata imetakiwa kutoa maelezo ya ongezeko la maombi ya msamaha wa kodi katika utoaji wa magari yanayopitishwa katika taasisi hiyo ya dini, kutoka nje ya nchi.

Hayo yamo katika barua ya TRA ya Novemba 19, mwaka huu  kwenda kwa Katibu Mkuu wa...

 

9 years ago

GPL

MAUAJI YA KUTISHA BAKWATA

Deogratius Mongela na Chande AbdallahI NAUMA sana! Katika hali isiyo ya kawaida, mkazi wa Kata ya Mwembe Mkavu, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani, Ramadhani Mloli (37) amemuua mkewe, maarufu kwa jina la Mama wa Naironi kwa kumchoma visu sehemu mbalimbali za mwili kisha na yeye kujiua kwa kisu pia.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KJml9j

 

11 years ago

Habarileo

Bakwata yakemea mapinduzi misikitini

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani