Bakwata: Mahujaji wapo salama
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema mahujaji wote wa Tanzania waliokwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hijja wako salama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Sep
Mufti: Mahujaji wa Tanzania wako salama
LICHA ya ongezeko la vifo vya mahujaji katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia, imeelezwa kuwa, hakuna taarifa za vifo vya Waislamu wa Tanzania waliokwenda kutekeleza Ibada ya Hijja nchini humo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXaqdStwolQ/XklxlLsc5SI/AAAAAAALdms/pG6b_TER8BgxaJCdsZBMtVpQuXqFfE9TACLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault-3.jpg)
WATANZANIA WALIOPO WUHAN WAPO SALAMA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXaqdStwolQ/XklxlLsc5SI/AAAAAAALdms/pG6b_TER8BgxaJCdsZBMtVpQuXqFfE9TACLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault-3.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo (Jumapili, Februari 16, 2020) kwenye Kumbukumbu ya Mazazi ya Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayh...
5 years ago
CCM Blog19 Mar
WATU 27 WALIOCHUKULIWA SAMPULI VIRUSI VYA CORONA WAPO SALAMA
![Watu 27 waliochukuliwa sampuli ya vipimo vya Corona Tanzania, wako salama](https://media.parstoday.com/image/4bv74cc8c616271mcir_800C450.jpg)
Watu 27 ambao waliliochukuliwa sampuli za vipimo vyao vya afya ili kuwachunguza iwapo wameambukizwa virusi vya Corona Covid-19, wapo salama.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko katika Wizara ya Afya, Dk Janeth Mghamba akiwa na mtaalam wa majanga wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Faraja Msemwa. Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha, maafisa hao wa Wizara ya Afya nchini Tanzania, wamesema watu hao 27 walichukuliwa sampuli baada...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
BAKWATA yachunguza ubadhirifu
KATIBU wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...
9 years ago
Mtanzania07 Dec
TRA yatua Bakwata
*Wadaiwa kuingiza magari 82 kwa misamaha ya kodi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RUNGU la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limeonekana kushika kasi na safari hii limeangukia kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Kwa mujibu wa barua ya TRA, Bakwata imetakiwa kutoa maelezo ya ongezeko la maombi ya msamaha wa kodi katika utoaji wa magari yanayopitishwa katika taasisi hiyo ya dini, kutoka nje ya nchi.
Hayo yamo katika barua ya TRA ya Novemba 19, mwaka huu kwenda kwa Katibu Mkuu wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65SKh-uTMMzRHiUUPFwoYS52jMwDhWkZsh8nsyeZrTTRHAysxzn0NLGADZFFt9nVhyzWUksL2d3w6RRQ60ZDlfb/Bakwata.gif?width=650)
MAUAJI YA KUTISHA BAKWATA
11 years ago
Habarileo15 Jan
Bakwata yakemea mapinduzi misikitini
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.