Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania watakiwa kuenzi misingi ya Nyerere

WATANZANIA wametakiwa kutoharibu misingi ya haki, amani na unyofu aliyoiacha Mwalimu Julius Nyerere kwa sababu ya ubinafsi na uroho wa madaraka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuenzi umoja wa kiimani

Makamu wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameongoza maombi ya kushukuru Mungu baada ya uchaguzi mkuu kukamilika kwa amani, akiwasihi watanzania kuenzi umoja wa kiimani uliopo, kwani nchi nyingine zimetumia vigezo vya tofauti ya dini kusababisha mifarakano.

Aidha amewashukuru Watanzania kwa kuonyesha imani kwa kumchagua Dokta John

Pombe Magufuli kuwa rais, na kwamba imani hiyo imebaki kuwa deni kwao katika kuwatumikia watanzania.

Maombi haya ymefanyika...

 

11 years ago

Habarileo

Pemba watakiwa kuenzi Muungano

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Juma Kassim TindwaWANANCHI wa Pemba wametakiwa kuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaotimiza umri wa miaka 50 kesho; ukitajwa kuwa umesaidia kuimarisha miradi ya uchumi na maendeleo.

 

10 years ago

StarTV

Watanzania wahimizwa kuendelea kuilinda misingi ya amani na utulivu.

Muhubiri wa kimataifa dokta Egon Falk amesema amani iliyopo nchini Tanzania itaendelea kuwepo miaka mingi ijayo kutokana na misingi imara iliyowekwa.

Amesema misingi hiyo ni ile inayopiga vita ukabila na udini ambayo imewekwa na viongozi wazalendo wenye nia njema na taifa hili.

Katika maombi yake ya kuombea amani nchi ya Tanzania  aliyoyafamya katika kijiji cha Gitting wilayani Hanang mkoani Manyara, dkt Falk anasema  watanzania wana kila sababu ya kujivunia utulivu huo.

Aidha katika...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuendeleza amani

 

WATANZANIA wametakiwa kuutumia mwaka mpya wa 2016 kuendeleza Sifa na Historia njema ya Tanzania katika kulinda na kudumisha amani iliyopo.

Kanisa la Tanzania Assemblies of God, TAG, mkoa wa Mbeya limesema kuingia mwaka mpya siyo sababu kwa Watanzania kuacha utamaduni wao wa kudumisha amani bali wanapaswa kuiendeleza sifa hiyo iliyoijengea Tanzania heshima Kimataifa.

Ushauri huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa kanisa la TAG mkoa wa Mbeya, Addison Mwaijunga, wakati wa ibada maalum ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania watakiwa kupambana na majangili

Watanzania wametakiwa kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali kupambana na uwindaji haramu wa wanyama unaofanywa na majangili kwenye mbuga za wanyama.

 

9 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuacha ubinafsi

Watanzania wametakiwa kuachana na ubinafsi na badala yake kuishi kama ndugu ikiwa ni pamoja na kusaidiana ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa Taifa lenye mshikamano barani Afrika.

Kauli hiyo imetolewa na Askofu Rogathe Swai wa Kanisa la Kinondoni Rivavil mara baada ya kushuhudiwa matukio tofauti ya kifisadi na rushwa yaliyojitokeza mwaka jana ikiwemo baadhi ya Watanzania kutuhumiwa kuficha fedha nje ya Nchi.

Katika ibada ya kuimba na kumsifu Mungu ambayo imefanyika kwenye kanisa la Revival...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wamkumbuka Nyerere mtandaoni

Watanzania kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakitumia #DearNyerere kumkumbuka mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Nyerere.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania watakiwa kulinda amani, utulivu

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWATANZANIA wametakiwa kulinda amani ya nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ili kuliletea taifa maendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania watakiwa kudumisha Amani na Mshikamano

Frank Mvungi-Maelezo
Watanzania wametakiwa kuendeleza amani na mashikamano uliopo kwa maslahi ya Kizazi hiki na Kizazi Kijacho kwa kuenzi misingi ya Amani na Uzalendo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hili.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na aliyekuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Amon Mpanju ambaye pia ni mwenyekiti wa wa shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania.
Nchi ni zaidi ya itikadi na Mihemko ya watu wachache hivyo ni lazima tuwaepuke wote wanaotaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani