Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATEJA SOKO LA KIHESA WADAIWA KUKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO


KaimuMeya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Mlandege alipofanya Ziara katikamasoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabishawanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona
KaimuMeya wa Halmashauri ya Manispaa yaIringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Ipogolo alipofanya Ziara katikamasoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabishawanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona

Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATEJA SOKO LA KIHESA WAKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO, JESHI LA AKIBA WAKUKAMATA WAKAIDI

Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Ipogolo alipofanya Ziara katika masoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabisha wanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona.Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Mlandege alipofanya Ziara katika masoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabisha wanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona.Kaimu Meya wa Halmashauri ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaghai wadaiwa katika soko la hisa Uchina

Huku bei ya hisa zikiimarika nchini Uchina, wasimamizi wa sekta za uchumi nchini humo wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kile shirika la habari limetaja kuwa ulaghai katika soko la hisa.

 

5 years ago

Michuzi

SOKO LA MABIBO CORONA BASI, LANUFAIKA, KUTENGEENEZEWA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO KWA KILA MTUMIAJI.

Taasisi isiyo ya kiserekali ya Vijana Think Tank (VTT)  @vijanathinktank ambayo inajumuisha vijana zaidi ya 250, ambayo ilianza kama jukwaa kupitia group la WhatsApp, siku ya leo wamekabidhi vizimba vitatu vya maji kwa mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo baada ya kuchangishana pesa kupitia kundi hilo la WhatsApp na kuamua kupamabana na janga la Corona kwa kuelekeza nguvu zao kwenye masoko mkoani Dar Es Salaam.
Akiongea mwakilishi wa taasisi ya Vijana Think Tank (VTT)  @vijanathinktank Bi....

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom Yatangaza Kukua kwa Biashara, yaendelea Kuongoza katika umiliki wa soko la wateja.


Yaendelea kuongoza soko baada ya kufikisha wateja milioni 15.5.Yatumia Shilingi 154.6 bilioni kuboresha miundombinu ya mawasiliano hivyo kunufaisha wateja kwa huduma bora na za kiwango cha juu. Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini, Vodacom Tanzania PLC imetoa matokeo ya awali ya kifedha kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Machi 2020, ikionyesha ukuaji wa kibiashara unaodhihirishwa na ongezeko la umiliki wake wa soko kufikia asilimia 32.8 baada ya kuongeza idadi ya wateja wake...

 

11 years ago

TheCitizen

Fallen DC to be buried at Kihesa tomorrow

The body of Kalambo District Commissioner Moshi Chang’a, will be laid to rest tomorrow at his Kihesa home village in Iringa Region.

 

9 years ago

Michuzi

WHO YATOA MSAADA WA DAWA ZA KUTAKASA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kwa kulishukuru shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa kutoa msaada wa Dawa za kutakasa maji (Water Guard ) leo jiji Dar es Salaam kulia ni Mwakilishi wa shirika la Afya Ulimwenguni hapa Nchini Dk Rufaro Chatora. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando leo jiji Dar es Salaam Mwakilishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

mahakama kuu yafuta tena maombi ya sheikh ponda kuodolewa shitaka la kukaidi amri halali

MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo imefuta kwa mara ya pili maombi ya kufanya marejeo kuhusu kuliondoa shitaka la kukaidi amri halali iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, dhidi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda  (pichanibaada ya kufunguliwa kwa kukiuka sheria.   Kadhalika maombi hayo yamefutwa baada ya kukiuka kifungu cha 372 kidogo cha (2) cha Mwenendo wa Sheria za Makosa ya Jinai (CPA) ambacho hakiruhusu maombi hayo...

 

11 years ago

Bongo5

Picha/Video: Ephraim Kibonde akamatwa na polisi kwa kusababisha ajali na kukaidi amri ya trafiki

Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Ephrain Kibonde leo ameshuhudia jinsi ambavyo mkono wa sheria ulivyo mrefu hata kwa mtu maarufu kama yeye alipojikuta kwenye wakati mgumu baada ya kusababisha ajali na kushindwa kutoa ushirikiano kwa polisi wa barabarani. Picha ya mtangazaji huyo akiwa amepigwa ‘Tanganyika Jeki’ na polisi wa barabarani imeenea […]

 

5 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA KUCHENJUA NA KUTAKASA MADINI CHAANZA KAZI RASMI JIJINI DODOMA

 Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Eyes of Africa Ltd (EOA) Ferenc Molnar akionesha moja ya mtambo mkubwa na wakisasa wa kutakasa madini wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) walipotembelea kiwanda hicho jijini hapa mwishoni mwa wiki. Mtendaji Mwendeshaji wa kiwanda hicho, Prince Mugisha akionesha moja ya jarida (Catalogue) ya huduma zinazotolewa na EOA.Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Eyes of Africa Ltd (EOA), Ferenc Molnar akisisitiza jambo kwa wanahabari. Kulia kwake ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani