Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wateja wa Airtel kushinda mamilioni kupitia promosheni ya “Airtel mkwanjika”

Pic 2 (1)Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga kwa pamoja wakizindua promosheni mpya ya “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima
kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.

Promosheni ya “Airtel MKWANJIKA” itawawezesha wateja wote wanaojinga na kifurushi chochote cha yatosha au kuongeza muda wa maongezi wa kiwango chochote kwenye simu zao kuingia kwenye droo na kupata nafasi ya kujishindia.

Kila siku wateja...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kushinda mamilioni ya pesa kupitia promosheni ya “Airtel MKWANJIKA”

Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga kwa pamoja wakizindua promosheni mpya ya “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ijulikanayo kama “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAWAZAWADIA WATEJA WAKE MAMILIONI KUPITIA PROMOSHENI YAKE YA “JIONGEZEE NA MSHIKO”‏

Maneja mauzo wa Airtel Kigoma Philip Nkupama (kushoto) akimzawadia shilingi million moja, Bwana Luwi Saulo Karunda kutoka Kigoma baada ya kuwa mshindi katika droo ya nane ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician.(kulia)  akimzawadia shilingi million tatu Habibu Mwella Freuzi   (kushoto), shilingi million tatu, baada ya kuwa mshindi katika droo ya nane ya promosheni ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Airtel yachezesha droo ya wiki ya 3 ya Promosheni ya Airtel Mkwanjika‏

Pic 1Afisa Masoko ya Airtel bi Rebecca Mauma (katika) akiponyeza kitufe cha kutafuta washindi wa droo ya wiki ya tatu ya promosheni ya Airtel Mkwanjika wakati wa kucheza droo hiyo iliyofanyika katika katika ofisi za Airtel Makao makuu morocco jijini Dar es salaam. Wakishuhudia ni mwakilishi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Bwana Bakari Maggid (kushoto) na Msimamizi wa kipindi cha Tv cha promosheni ya Airtel mkwanjika Abdalah Wambua (kulia)
Pic 2Msimamizi wa kipindi cha Tv cha promosheni ya Airtel...

 

9 years ago

Michuzi

WATEJA WA AIRTEL WAZAWADIWA MILIONI 25 KUPITIA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO

Meneja Mauzo wa Airtel Kagera , Mohamed Kabeke (kushoto) akimkabithi
pesa taslimu  bwana Mwahamadi Katula (24) mfanyabiashara na mkazi wamkoa wa Kagera , mara baada ya kuibuka mshindi wa shilingi milioni 3katika droo ya wiki ya tano ya promosheni ya Jiongeze na Mshikoinayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel.Afisa uhusiano na matukio, Dangio Kaniki akiongea na mshindialiyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya sita ya wiki ya promosheniya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili...

 

9 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL WAZAWADIWA MILIONI 25 KUPITIA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO‏

Meneja Mauzo wa Airtel Kagera , Mohamed Kabeke (kushoto) akimkabithi pesa taslimu bwana Mwahamadi Katula (24) mfanyabiashara na mkazi wa mkoa wa Kagera , mara baada ya kuibuka mshindi wa shilingi milioni 3 katika droo ya wiki ya tano ya promosheni ya Jiongeze na Mshiko inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. Afisa uhusiano na matukio, Bi Dangio Kaniki akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa...

 

11 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kulipa mikopo ya masomo kupitia huduma ya Airtel Money

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu Bwana Juma Chagonja akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde. Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money kulia pichani ni Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KULIPA MIKOPO YA MASOMO KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu Bwana Juma Chagonja akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde. Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao...

 

11 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kununua Tiketi za Ndege za Precicsion Air kupitia huduma ya Airtel Money

Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea wakati wa uzinduzii wa ushirikiano kati ya Airtel na Precision Air utakaowawezesha wateja wa Airtel kulipia tiketi za ndege kupitita huduma ya Airtel Money. akishuhudia ni Afisa uhusiano wa Airtel bi Jane Matinde na na Afisa masoko wa Precision Air Hillary Mremi Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya Naligingwa (kushoto) na Afisa masoko wa Precision Air Hillary Mremi (kulia) kwa pamoja wakizindua...

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUNUNUA TIKETI NA NDEGE ZA PRECISION AIR KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY

Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya  Naligingwa (kushoto)  na Afisa masoko wa Precision Air Hillary Mremi (kulia) kwa pamoja wakizindua ushirikiano kati ya Airtel na Precision Air utakaowawezesha wateja wa Airtel kulipia tiketi za ndege kupitita huduma ya Airtel Money. akishuhudia ni Afisa uhusiano wa Airtel bi Jane Matinde
Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya  Naligingwa (kushoto) akiongea wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani