Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATENGENEZAJI VITAKASA MIKONO JIJINI TANGA WATAKIWA KUZINGATIA MAHITAJI HALISI YA UTENGENEZAJI WA BIDHAA HIZO KUKABILIANA NA CORONA

Na Mashaka Mhando, Tanga .

WATENGENEZAJI wa vitakasa mikono Jijini Tanga, wametakiwa kuzingatia mahitaji halisi ya utengenezaji wa bidhaa hizo ili ziweze kukabiliana na virusi vya Covid 19.

Akitoa maelekezo hayo kwenye semina iliyoandaliwa na shirika la msaada wa kisheria mkoani hapa la (TAWOREC), Mfamasia wa Jiji Ali Hamza alisema ni lazima vitakasa mikono viwe na vilevi (alcohol) kuanzia wastani wa asilimia 70 ili viweze kuuwa virusi hivyo katika mikono.

"Tunawasihi watengenezaji wa Sanitizer...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHANGIA MSAADA WA LITA 1,250 ZA VITAKASA MIKONO KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA,

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia) akipokea kutoka kwa Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengenti, Bw. John Wanyancha sehemu ya lita za Vitakasa mikono,ambapo kampuni hiyo imetoa lita 1,250 ya vitakasa mikono nyenye thamani ya shilingi milioni 15 kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na maambukiza ya virusi.
====== ========== ======== ========
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imeunga mkono mapambano dhidi ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAKUTANISHA WAZALISHAJI WA MALIGHAFI ZINAZOTUMIKA KUTENGENEZA VITAKASA MIKONO (HAND SANITIZER) LEO JIJINI DODOMA.



WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na wazalishaji wa vitakasa mikono(Hand Sanitizer) wakati wa ufunguzi wa kikao cha kuweka mikakati ya kuongeza uzalishaji ili kupambana na janga la ugonjwa wa Corona kilichofanyika Jijini Dodoma.WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe. Innocent Bashungwa akisisitiza jambo wakati wa kikao na...

 

5 years ago

Michuzi

RC TANGA APOKEA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 20.4 KUTOKA TANGA CEMENT KWA AJILI KUKABILIANA NA CORONA


Mwandishi Wetu, Michuzi TV -Tanga

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela amepokea misaada yenye thamani ya jumla ya Shilingi milioni 20.4 kutoka Kampuni ya Tanga Cement kwa ajili ya kukabiliana na homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akizungumza baada ya kupokea msaada huo mkoani hapa, Shigile amesema kuwa kwa niaba ya wananchi wa Mkoa huo wanaishukuru kampuni hiyo kwa namna ilivyoguswa katika  mapambano dhidi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
"Kama...

 

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI WAASWA KUTOCHOKA KUSAFISHA MIKONO KWA SABUNI NA MAJI SAFI YATIRIRIKAYO KUKABILIANA NA CORONA

Na WAMJW- Tunduma SongweKaimu Meneja wa forodha Mikoa ya Songwe na Mbeya Ndg. Anangisye Mtafya amewataka Wasafiri na wafanya biashara wa maeneo ya mipakani kutochoka kusafisha mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka wakati wote ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.
Ameyasema hayo leo wakati akipokea vifaa vya kunawia mikono vilivyo tolewa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wadau wa Project CLEAR katika ofisi za forodha zilizo...

 

5 years ago

Michuzi

WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUZALISHA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA


Wazalishaji wa dawa,vifaa na vifaa tiba wakionesha nguo ya kujikinga ambayo itaanza kutengeneza na baadhi ya viwanda nchini.
Waziri Ummy Mwalimu na Waziri Innocent Bashungwa wakiwa kwenye kikao na Umoja wa wazalishaji wa Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba wakati wa mkutano huo

Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea na Umoja wa Wazalishaji Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba (TPMA) nchini wakati wa kikao cha kujadili namna ya uzalishaji wa vifaa kinga vya kukabiliana na...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo


*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono

Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.

Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...

 

5 years ago

Michuzi

DC aagiza kufungwa biashara kwa yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono

Na Anthony Ishengoma- Shinyanga
Athari za mlipuko wa ugonjwa wa Corona maalufu Covid 19 tayari
zimeanza kuonekana kutokana na wanunuzi wa madini ya Almasi kutoka
vikundi vya wachimbaji wadogo vinavyoendelea na marudio ya makinikia
ya mchanga wa almasi kuanza kupungua kwa kasi na wachimbaji hao
kushindwa kuuza madini hayo kwa wakati kama ilivyotarajiwa.

Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Shinyanga SHIREMA Bw. Gregory Kibusi wakati akiongea na vyombo vya habari...

 

5 years ago

Michuzi

DIWANI KATA YA BOMAMBUZI ATOA MSAADA WA BARAKOA,VITAKASA MIKONO KWA WAFANYABIASHARA

Na Woinde Shizza , KILIMANJARO

DIWANI wa Kata ya Bomambuzi na Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi  Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Juma Raibu amekabidhi barakoa 100,vitakasa mikono pamoja na ndoo kwa wafanyabiashara wa Soko la Pasua ili kujikinga na virusi vya Corona  ambavyo vinaendelea kutikisa Dunia.

Akizungumza wakati  akikabidhi vifaa hivyo, Diwani huyo amesema kuwa ameamua kutoa vifaa vya kujikinga na Corona kwa wananchi hao ,ili  kuendelea kuchukuwa taathari

Amesemambali na kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani