Watoto mfanano kukarimiwa Ngome Kongwe Jumamosi hii
Mwenyekiti na mwasisi wa kikundi cha kujitolea kinachowalea watoto wenye mfanano wa kikundi cha Trabajo Voluntario, Marisa Yussuf Himid akionyesha bango wakati maandalizi ya shughuli hiyo.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
ZAIDI ya watoto mfanano 50 na familia zao wanatarajiwa kujumuika na watu wengine katika viwanja vya Ngome Kongwe kwa mashamushamu ya kuonesha upendo na kushuhudia mateso yanayowapata watoto hao.
Taasisi isiyo ya kiserikali ya kujitolea ya mjini Zanzibar ya Trabajo Voluntario,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Filamu ya “I Shot Bi Kidude” kuonyeshwa tamasha la Ziff 2015 Jumapili hii ndani ya Ngome Kongwe, Zanzibar
‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’
Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web
‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright – mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”
‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’.
Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF
Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya...
11 years ago
Michuzi14 Jun
SHAMRA SHAMRA ZA UFUNGUZI WA ZIFF 2014 NDANI NGOME KONGWE UNGUJA JIONI HII
![DSC_0034](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0034.jpg)
![DSC_0042](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00421.jpg)
![DSC_0075](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0075.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Pajero ya Makame Faki ilivyotikisa Ngome Kongwe tamasha la ZIFF
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
WAPENZI wa muziki wa mahadhi ya mwambao wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika hivi karibuni walijikuta wanapitiliza usiku wa manane kutokana na kukolea kwa muziki wa kidumbaki uliokuwa ukiporomoshwa na kundi la Sina Chuki, chini ya sauti ya zege Makame Faki.
Wakiwa wanaondoka na nyonga zao kwa taratibu na kwa namna ambavyo inafuatilika, Makame alikoleza na sauti yake na Pajero linanisumbua huku wapenzi wakipiga kelele ya kushangilia.
Muziki huu...
11 years ago
Habarileo21 Mar
‘Watoto mfanano si laana, wasitengwe’
JAMII imeaswa kutambua matatizo yanayowakumba watoto mfanano (mtindio wa ubongo) na kushauriwa kutokuwabagua. Aidha, wametakiwa kuachana na imani za kishirikina, kwamba watoto hao ni laana kutoka kwa Mungu na kuwaua, badala ya kutoa elimu kwa wanaowatenga watoto hao.
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Picha za ufunguzi wa Sauti za Busara 2015 ulivyofana Ngome Kongwe leo
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Ufunguzi wa Tamasha la Kimataifa la Muziki la Sauti za Busara 2015, umetia fora baada ya kukusanya umati wa watu wengi waliojumuika pamoja kwenye mitaa mbalimbali ya Unguja na kuungana na paredi.
Tamasha la Sauti za Busara kila mwaka katika ufunguzi wake huambatana na paredi huku umati wa watu wakijumuika pamoja na kusherehekea kwa amani na kuandamana mpaka Ngome Kongwe. paredi ya leo ilianzia Magereza Miembeni hadi Ngome Kongwe. Zifuatazo ni baadhi...
11 years ago
Michuzi17 Jun
"WOMEN WITH ATTITUDE" SINEMA YENYE LADHA YA SHUGHULI KUONYESHWA NGOME KONGWE LEO
![DSC_0166](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0166.jpg)
10 years ago
MichuziTAMASHA LA NCHI ZA JAHAZI 2015 KUFANYIKA NGOME KONGWE ZANZIBAR KUANZIA JULAI 18 HADI 26
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s72-c/I_HEART_BK_2_1.jpg)
ZIFF KUONESHA filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s320/I_HEART_BK_2_1.jpg)