Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wa Wanamapinduzi watambiana kuwania Kiembesamaki

Wiki iliyopita mtoto wa muasisi wa ASP, Mansoor Yussuf Himid alitangaza kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF) baada ya kuondolewa CCM kwa tuhuma za kukiuka maadili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CCM wamteua Kombo kuwania uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki

 Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua Mahmoud Thabit Kombo, kuwa mgombea wa kiti cha uwakilishi katika Jimbo la Kiembesamaki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Walaani msako wa wanamapinduzi Gambia

Makundi ya kutetea haki za binadamu yamelaani hatua ya kuwakamata watu inayoendelea nchini Gambia baada ya jaribio la mapinduzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Miss Tanzania watambiana

Warembo wa Miss Tanzania wameanza kutambiana huku kila mmoja akijinadi kufanya vizuri kwenye mashindano hayo ambayo yanafanyika kesho kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkwassa, Maxime watambiana

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwassa na mwenzake wa Mtibwa, Mecky Maxime wameanza kutambia kabla ya timu hizo kukutana kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Ruvu Shooting watambiana

>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema msaidizi wake Charles Mkwasa amemkabidhi  taarifa zote muhimu zinazohusu uimara na udhaifu wa Ruvu Shooting na kudai kuwa atazitumia kuvuna ushindi katika pambano baina yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Dulla Mbabe, Mapambano watambiana

Mabondia Abdallah Pazi na Imani Mapambano wametambiana kila mmoja akijinadi kutwaa ubingwa wa taifa wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBC) katika pambano litakalofanyika Jumapili.

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha Azam, Yanga watambiana

Wakati kocha wa Azam, Stewart Hall akisema mifumo anayotumia na uimara wa kiuchezaji wa wachezaji wake ndiyo siri ya mafanikio yake, mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm ametamba kuwa timu yake ina kikosi imara zaidi pengine kushinda timu yoyote nchini.

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani