Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dulla Mbabe, Mapambano watambiana

Mabondia Abdallah Pazi na Imani Mapambano wametambiana kila mmoja akijinadi kutwaa ubingwa wa taifa wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBC) katika pambano litakalofanyika Jumapili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo Movies

VideoMPYA: Dulla Makabila ana hii mpya “Kuingizwa”

Mkali wa muziki wa Singeli Dulla Makabila ambaye amefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Haujaulamba’ leo March 24 2018 ameamua kutoa video mpya kwa mashabiki wake, Dulla Makabila leo ameaachia rasmi video ya ‘Kuingizwa’

Bofya PLAY

 

9 years ago

Mwananchi

Mkwassa, Maxime watambiana

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwassa na mwenzake wa Mtibwa, Mecky Maxime wameanza kutambia kabla ya timu hizo kukutana kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Miss Tanzania watambiana

Warembo wa Miss Tanzania wameanza kutambiana huku kila mmoja akijinadi kufanya vizuri kwenye mashindano hayo ambayo yanafanyika kesho kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha Azam, Yanga watambiana

Wakati kocha wa Azam, Stewart Hall akisema mifumo anayotumia na uimara wa kiuchezaji wa wachezaji wake ndiyo siri ya mafanikio yake, mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm ametamba kuwa timu yake ina kikosi imara zaidi pengine kushinda timu yoyote nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Ruvu Shooting watambiana

>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema msaidizi wake Charles Mkwasa amemkabidhi  taarifa zote muhimu zinazohusu uimara na udhaifu wa Ruvu Shooting na kudai kuwa atazitumia kuvuna ushindi katika pambano baina yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto wa Wanamapinduzi watambiana kuwania Kiembesamaki

Wiki iliyopita mtoto wa muasisi wa ASP, Mansoor Yussuf Himid alitangaza kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF) baada ya kuondolewa CCM kwa tuhuma za kukiuka maadili.

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea.…

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO ifikapo Mei  24 mwaka huu  katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam. katikati ni katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST Anthony Rutta. Picha na Duper D

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani