Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATOTO WATATU WAFUTWA MACHOZI NA BIMA YA ELIMU YA BAYPORT BIHARAMULO

Na Mwandishi Wetu, Kagera TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo, jana imewakabidhi hundi ya Sh Milioni tatu watoto watatu wilayani Biharamulo, mkoani Kagera, kwa ajili ya kunufaika na huduma ya Bima ya Elimu iliyoachwa na mzee wao Karume Ochieng aliyefariki Dunia, huku akiwa amejiunga na huduma ya bima kwa ajili ya watoto wake hao.Mratibu Mauzo wa Bima ya Elimu wa Taasisi ya Kifedha inayotoa Mikopo(Bayport Financial Services, Ruth Bura...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Bayport yamfuta machozi Latifa Juma kupitia fao la Bima ya Elimu kwa Uwapendao

Mratibu wa Bima ya Elimu kwa Uwapendao kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, kushoto akimkabidhi hundi Latifa Juma yenye thamani ya Tsh 3,000,000, baada ya mzazi wake Juma Said, aliyekuwa Mchapa Vitabu wa Shule ya Uhuru Mchanganyiko, jijini Dar es Salaam. Kulia ni mume wa Latifa, anayeitwa Bakari Msumi. (Picha zote kwa Hisani ya Bayport Financial Services).

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services, leo jioni imemkabidhi...

 

11 years ago

Michuzi

Bayport Yazindua Bima Ya Elimu

Bayport yazindua Bima Ya Elimu,Kwenye hafla ndogo kwenye ofisi ya Wizara ya   Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Kuanzia mkono wa kushoto katika picha ni Mhe. Sophia Simba (Waziri) akifutiwa na wawakilishi wa Bayport Financial    Services Maneja Masoko Ngula Cheyo na Matthew Mbaga, Meneja wa Bima. ======  ======  =======
Bayport Financial Services, ambayo ni moja kati ya wakopeshaji akubwa kwa ajili ya wafanyakazi imezindua mpango wa bima kwa ajili ya elimu.  Mfumo huo wa bima ni kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Bayport Financial Services yamfuta machozi Latifa Said

Mratibu wa Bima ya Elimu kwa Uwapendao kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, kushoto akimkabidhi hundi Latifa Juma yenye thamani ya Tsh 3,000,000, baada ya mzazi wake Juma Said, aliyekuwa Mchapa Vitabu wa Shule ya Uhuru Mchanganyiko, jijini Dar es Salaam. Kulia ni mume wa Latifa, anayeitwa Bakari Msumi. Picha zote kwa Hisani ya Bayport Financial Services.
Na Mwandishi Wwetu, Dar es Salaam

TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services, leo jioni imemkabidhi...

 

9 years ago

Michuzi

Bayport yaanzisha huduma mpya ya bima ya magari, pikipiki na bajaj

Mratibu wa Bima kutoka Bayport Financial Services, Ruth Bura, katikati akizungumza katika uzinduzi wa huduma mpya ya Bima ya Magari, pikipiki na Bajaj kwa kushirikiana na Kampuni ya NIKO Insurance. Kulia ni Meneja Uendelezaji wa Biashara wa NIKO Insurance, Jabir Kigoda na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Niko, Mannaseh Kawoloka.
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo, imezindua huduma mpya ya bima ya magari,...

 

10 years ago

Michuzi

Watatu wajishindia mamilioni kutoka Bayport

Meneja Utawala wa Bayport Financial Services aliyezibwa macho, Evalyine Hall, akichagua koponi ya mmoja wa washindi wa Kopa Bayport kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz, inayoendeshwa na taasisi hiyo ambapo washindi watatu ambao ni Hyasint Mbunda (Songea), Phaustine Mbilinyi (Dar es Salaam) na Allen Bishubo (Bukoba), walipatikana na kila mmoja kushinda Sh Milioni moja. Kushoto ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport, Ngula Cheyo na kushoto ni Msimamizi wa Michezo ya Kubahatisha,...

 

10 years ago

Vijimambo

TAASISI YA KIFEDHA YA BAYPORT YAKABIDHI HUNDI YA MIL 3 KWA WATEGEMEZI WA FAO LA ELIMU MKOANI MBEYA

Mratibu Mratibu wa Bima ya Elimu kwa Uwapendao kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, akizungumza na baadhi ya watumishi wa shule ya sekondari Jamsi Sangu (hawapo pichani ) juu ya namna ya kujiunga na fao hilo kabla ya kufanyika kwa zoezi la makabidhiano ya hundi kwa Jaqline Ndyamkama ambaye ni mwanafunzi wa shule hiyo yenye thamani ya Tsh 3,000,000, baada ya mzazi wake ambaye alikuwa mteja wa taasisi hiyo kufariki dunia., (Picha zote Emanuel Madafa Jamiimoja...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Al Shaimar kwa ushirikiano na Bayport wa wazitembelea familia za watoto Albino waliopoteza maisha Jijini Mwanza

Meneja Mauzo wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services Kanda ya Ziwa, Lugaano Kasambala, akimpa pole Ester Jonas, mama wa Yohana Bahati, mtoto mwenye ulemavu wa ngozi albino, aliuawa mkoani Mwanza, hivi karibuni. Mama huyo anatibiwa katika Hospitali ya Bugando baada ya kupata mareraha katika tukio la kuvamiwa na kuporwa mtoto wake. Kulia kwa Kasambala ni Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaimar Kweigyir mwenye miwani waliyeambatana katika safari hiyo kwa ajili ya kuwapa pole na...

 

9 years ago

Mwananchi

Machozi ya Aisha wa Zanzibar kwa watoto wake kubakwa

Vitendo vya ukatili wa kijinsia vimeendelea kuwa mwiba kwa watoto visiwani Zanzibar, huku wengi wakiendelea kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani pasipo kuainisha matatizo yao kwa uwazi ndani ya jamii wanazoishi.

 

10 years ago

Vijimambo

UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA

ILA tuache utani huyu manzi ni mkaleeeeee Katika kudhihirisha kuwa NI MAMA BORA KWA WATOTO WAKE ZARI AMEWAJIBU WALE WANAODAI KAWATEKELEZA WATOTO WAKE WATATU NA KULA BATA NA DIAMOND__hivi ndivyo alivyopost katika acount yake ya FACEBOOK"Zala ababo obugumba obukatawanya mxxxuuuuiiiiii. I don't owe anyone an explanation but at the same time I have pple who look up to me and get disturbed by some false news out there.I love my soldiers. Out of the 365 days in year am responsible for 300 days and...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani