Watoto wenye ualbino wamuangukia Magufuli
 Watoto wanaolelewa katika Kituo cha Bikira Maria kilichopo Lamadi mkoani Simiyu, wameiomba Serikali ya Awamu ya Tano kukomesha mauaji ya watu wenye ualbino kutokana na imani za kishirikina.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA JAMBO YAMWAGA MSAADA KITUO CHA WATOTO WENYE UALBINO BUHANGIJA
Kampuni ya vinywaji Jambo Products ya mkoani Shinyanga, imetoa misaada mbalimbali ikiwemo chakula kwenye kituo cha kulea watoto wenye ualbino cha Buhangija Jumuishi kilichopo Mjini Shinyanga .
Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo leo Alhamis Februari 20,2020, Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Esme Salum, akiambatana na wachezaji wa timu ya Stand United ambayo wanaifadhili, amesema wameamua kutoa sehemu ya faida ambayo wanaipata kusaidia watoto hao wenye ualbino ili kuwapa faraja. Amesema...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aa--MngziDs/XqEqJ1z1lWI/AAAAAAAAnY0/B5ZWHj9FYQIjzP5N2oNEgXVkavS1aPATACLcBGAsYHQ/s72-c/picha%2B1.jpg)
JBS FUEL COMPANY YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UALBINO BUSEGA KUKABILI CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aa--MngziDs/XqEqJ1z1lWI/AAAAAAAAnY0/B5ZWHj9FYQIjzP5N2oNEgXVkavS1aPATACLcBGAsYHQ/s400/picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0liqM9n1dEw/XqEqKGIH27I/AAAAAAAAnY4/jB2gsQ0qweUyS1J0JPA77KfWJH3f1AvoQCLcBGAsYHQ/s320/picha%2B2.jpg)
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AONGOZA KIKUNDI CHA WANAWAKE NA MABADILIKO KUKABIDHI BWENI KITUO CHA WATOTO WENYE UALBINO BUHANGIJA
Kikundi cha Wanawake na Mabadiliko Manispaa ya Shinyanga (Women For Change - WFC) kimekabidhi bweni walilokarabati kwenye kituo cha kulea watoto wenye ulemavu mbalimbali cha Buhangija Jumuishi, wakiwamo na watoto wenye ualbino kwa ajili ya kuwaweka katika mazingira mazuri. Zoezi la kukabidhi bweni ambalo ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, limefanyika leo Alhamis Machi 5, 2020 ambapo mgeni Rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, huku hafla hiyo fupi...
10 years ago
MichuziJK MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s72-c/unnamed.jpg)
DC WA MISSENYI AWAPATIA MATIBABU YA BURE WATU WENYE UALBINO
![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iYgpoawGKBA/VUktPeBlVgI/AAAAAAAHVmw/HBdV--OBFM8/s640/unnamedmmm.jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
MichuziSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8lktNoboX9g/VBrbUvotDeI/AAAAAAAGkSQ/PnKVh99NIIg/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
Tume kujumuika na Wadau kulaani mauaji dhidi ya watu wenye Ualbino
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kushirikiana na Chama cha Albino Tanzania (TAS), Under The Same Sun (UTSS) Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu ( SHIVYAWATA), taasisi za kiraia na wadau wengine wameandaa maandamano ya amani sanjari na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani Duniani (International Day of Peace) yatakayofanyika Jumapili Septemba 21,2014 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kauli Mbiu ya maadhimisho haya ya kitaifa ni “Haki ya Amani...
Kauli Mbiu ya maadhimisho haya ya kitaifa ni “Haki ya Amani...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mh. Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xHXCZPX7nfs/XtE9sYxzhbI/AAAAAAALr_0/mI_M8VcBEgANgBi82HVfw3Za6OD-rTBGwCLcBGAsYHQ/s72-c/ALBINO00000.jpg)
TAS WAIOMBA SERIKALI KUANGALIA NAMNA YA KUWASAIDIA WATU WENYE UALBINO
Na Farida Saidy,Morogoro
Chama cha Watu wenye ualbino ( TAS) kimeiomba serikali kuangalia upya sera na miongozo katika sekta ya afya kuwasidia watu wenye ualbino katika upatikanaji wa vifaa kinga ikiwemo mafuta maalumu ya kujipaka ,kama ilivyo katika upatikanaji wa dawa za kufumpaza virusi vya Ukimwi ARV zinavyotolewa bure katika vituo vya afya na zahanati.
Kauri hiyo imetolewa mkoani Morogoro na katibu wa Tas Taifa Musaa Kabimba katika kliniki ya ngozi kwa watu wenye ualbino,...
Chama cha Watu wenye ualbino ( TAS) kimeiomba serikali kuangalia upya sera na miongozo katika sekta ya afya kuwasidia watu wenye ualbino katika upatikanaji wa vifaa kinga ikiwemo mafuta maalumu ya kujipaka ,kama ilivyo katika upatikanaji wa dawa za kufumpaza virusi vya Ukimwi ARV zinavyotolewa bure katika vituo vya afya na zahanati.
Kauri hiyo imetolewa mkoani Morogoro na katibu wa Tas Taifa Musaa Kabimba katika kliniki ya ngozi kwa watu wenye ualbino,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania