Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATOTO WENYE ULEMAVU WATUMIA MABARAZA YAO KUELEZA CHANGAMOTO WANAZOPITIA

Afisa Maendeleo wa Mkoa wa Arusha, Bi Blandina Nkini akiwapongeza FPCT na ERIKS. Askofu Lugonga wa FPCT Jimbo la Mara akizungumzia watoto walemavu. Baadhi ya watoto wenye ulemavu mkoani Mara wakiwa kwenye mkutano…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Watu wenye Ulemavu wanakabiliwa na changamoto nyingi - SVF

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii 
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na kusaidia  watu wenye  mahitaji maalum (SVF) limesema watu wenye ulemavu wako milioni 4.5 lakini wanakabiliwa na changamoto kutokana na mazingira wanayoishi.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Katibu Mkuu wa shirika hilo,Leontine Rwechungura amesema kutokana na kutambua mahitaji ya kundi la watu wenye ulemavu,wataanza kujenga miundombinu rafiki kwa wanafunzi katika shuke ya Sekondari,...

 

10 years ago

Mtanzania

Kituo cha watu wenye ulemavu wa ngozi kilichojaa changamoto!

NA AGATHA CHARLES, ALIYEKUWA SHINYANGA
WAKATI jamii ikipambana kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), imebainika kuwa licha ya tishio hilo la kuawa lakini pia wamekuwa wakifanyiwa vitendo wa ukatili ikiwemo kubakwa.
Mwandishi wa gazeti hili, Machi 10, mwaka huu alitembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga na kukutana na binti mwenye umri chini ya miaka 18 ambaye alifanyiwa ukatili...

 

10 years ago

Mtanzania

Barnaba: Tusiwatenge watoto wenye ulemavu

BARNABANA RUTH MNKENI
WIMBO wa ‘Tuwapende’ wa msanii wa Bongo Fleva, Barnaba umetumika katika kampeni ya kuhamasisha jamii isiwatenge watoto wenye ulemavu wa akili.
Barnaba alionyesha kwa vitendo kuhamasisha jamii hiyo kupitia wimbo wake huo huku akicheza na baadhi ya watoto hao waliokuwa wamekusanyika katika matembezi hayo mwishoni mwa wiki.
“Mimi kwa kweli niliguswa ndiyo maana nikatoka na wimbo huo kwa kuwa naamini hakuna mtu anayependa kupata mtoto mwenye ulemavu wowote na ikitokea hivyo huwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Watoto wenye ulemavu wamkuna Natasha

natashaNA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation...

 

11 years ago

Mwananchi

Njia bora za kuwasaidia watoto wenye ulemavu

Katika jamii yetu wanazaliwa watoto wenye hitilafu mbalimbali kama vile ulemavu wa viungo, upofu wa macho, ubovu wa masikio, kutoweza kuongea na pia mtindio wa ubongo.

 

10 years ago

GPL

WATOTO WENYE ULEMAVU WAWAPONGEZA FPCT NA ERIKS

Mmoja wa watoto wenye ulemavu, Kashindye Athumani aliyenufaika na mpango huo. Watoto wenye ulemavu katika maeneo mbalimbali ya Tanzania wameipongeza taasisi ya Free Pentecostal Church of Tanzania (FPCT) na wadhamini wake, ERIKS kwa kuwawezesha kuwa na nguvu ya kueleza mahitaji na changamoto zao kwa wazazi, serikali na jamii inayowazunguka. Wakizungumzia mradi huo unaowahusu wao, watoto hao wamesema umewawezesha kuzijua haki zao...

 

9 years ago

StarTV

Wazazi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu

Wazazi wa watoto wenye ulemavu katika mkoa wa Tanga wameendelea kulaani tabia ya wazazi kuwaficha watoto wao majumbani badala ya kuwapeleka shuleni kupata elimu na maarifa yatakayowasaidia kwenye maisha yao.

Wazazi hao walikuwa wakizungumza katika hafla iliyowakutanisha walemavu kwenye kituo cha watoto wenye ulemavu cha YDCP kama sehemu ya kujumuika nao kusherehekea sikukuu ya Krismasi.

Wazazi hao wamesema ipo sababu ya msingi ya kuondokana na tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili

Asilimia moja ya watu duniani wanazaliwa wakiwa na matatizo ya akili na ubongo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani