Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU 11,000 WALIOAMBUKIZWA CORONA IRAN WAPATA NAFUU

Watu 11,000 walioambukizwa corona Iran wapata nafuuWizara ya Afya imetangaza kuwa, hadi sasa watu 11,679 waliokuwa wameabukizwa virusi vya ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Iran wamepata nafuu na kuruhusiwa kuondoka hospitalini.Kianoush Jahanpour, Msemaji wa Wizara ya Afya ya Iran akizungumza Jumamosi na waandishi habari alisema: "Hadi sasa watu 35,408 nchini Iran wameambukizwa corona. Aidha ameongeza kuwa, hadi sasa idadi ya waliofariki kutokana na virusi hivyo kufikia adhuhuri ya Jumatano ilikuwa watu 2,517.Ugonjwa wa COVID-19...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAGONJWA WA CORONA WALIOPATA NAFUU NCHINI IRAN WAPINDUKIA 14,656

Wagonjwa wa corona waliopata nafuu nchini Iran wapindukia 14,656Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran imetangaza kuwa: Hadi leo Jumanne mchana watu 14,656 miongoni mwa walioambukizwa kirusi cha corona wamepata nafuu na kuruhusiwa kutoka hospitali.Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari ya Wizara ya Afya ya Iran Kianoush Jahanpour, amewaeleza waandishi wa habari kuwa, jumla ya watu 44,606 wameambukizwa virusi vya covid-19 nchini Iran; na kwa masikitiko, watu 141 wamefariki dunia katika muda wa saa 24 zilizopita kutokana na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ramani inayoonesha idadi ya watu walioambukizwa na waliofariki kutokana na virusi vya corona duniani

Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?

Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona

 

5 years ago

Michuzi

Watu 552 waliokuwa wameambukizwa Corona nchini Iran wapona

 Iran imetangaza kuwa hadi sasa watu 552 waliombukizwa ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama Corona wamepona na wamepewa ruhusa ya kurudi nyumbani kutoka hospitali.

Akizungumza na waandishi habari Jumatano hii mjini Tehran, Kianoush Jahanpour mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma katika Wizara ya Afya ya Iran amesema watu hao wote waliopona wako katika hali nzuri hivi sasa.

Ameongeza kuwa, hadi kufikia leo Jumatano adhuhuri kulikuwa na kesi mpya 586 za waliombukizwa kirusi cha Corona kote Iran na...

 

5 years ago

Michuzi

Watu 913 wapona virusi vya corona nchini Iran, WHO yapongeza

Wizara ya Afya ya Iran imetangaza kuwa hadi hivi sasa watu 913 walioambukizwa virusi vya corona humu nchini wamepona na kurejea katika maisha yao ya kawaida.

Dk Kianoush Jahanpour, Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya ya Iran alitangaza habari hiyo jana Ijumaa na kuongeza kuwa, watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Iran kufikia jana ilikuwa ni 4,747, kati ya hao 124 wamepoteza maisha kutokana na virusi hivyo lakini waliopona ni watu 913.

Dk...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Walioambukizwa corona Kenya wafika 246

Kenya yathibitisha wagonjwa wapya 12 wa corona na kufikisha 246 jumla ya watu walioambukizwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Walioambukizwa Kenya wafikia 320

Wagonjwa wengine 17 wamethibitishwa kuwa na virusi vya corona Kenya na kuongeza idadi ya watwanaougua ugonjwa huo kufikia 320.

 

5 years ago

Michuzi

Walioambukizwa kirusi cha corona Afrika Kusini wafikia 38


Wizara ya Afya ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, idadi ya watu walioambukizwa kirusi hatari cha corona nchini humo jana ilipanda hadi watu 38 kutoka 24 waliokuwa wameambukizwa kirusi hicho hadi juzi Ijumaa.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu 14 waliokumbwa na ugonjwa wa COVID-19 wameongezeka katika kipindi cha siku moja nchini Afrika Kusini.

Huku hayo yakiripotiwa, idadi ya walioambukizwa kirusi cha corona imeongezeka mara mbili pia nchini Morocco baada ya nchi hiyo kuripoti kesi nyingine 9 za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani