Walioambukizwa kirusi cha corona Afrika Kusini wafikia 38
![](https://1.bp.blogspot.com/-OSOBqhXCRF0/Xm8CzR-G1ZI/AAAAAAALj2g/nDaNymUJ0BYerNbgnAKOouan8op-7WpIwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv78c21bf20ed1m8wt_800C450.jpg)
Wizara ya Afya ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, idadi ya watu walioambukizwa kirusi hatari cha corona nchini humo jana ilipanda hadi watu 38 kutoka 24 waliokuwa wameambukizwa kirusi hicho hadi juzi Ijumaa.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu 14 waliokumbwa na ugonjwa wa COVID-19 wameongezeka katika kipindi cha siku moja nchini Afrika Kusini.
Huku hayo yakiripotiwa, idadi ya walioambukizwa kirusi cha corona imeongezeka mara mbili pia nchini Morocco baada ya nchi hiyo kuripoti kesi nyingine 9 za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Walioambukizwa Tanzania wafikia 254
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: Walioambukizwa Kenya wafikia 320
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya Corona: Walioambukizwa virusi vya corona Kenya wafikia 363
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya Corona: Kikao cha bunge cha mtandaoni Afrika kusini chadukuliwa kwa picha za ngono
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3W4t8UFaITQ/Xrw1fuK9LpI/AAAAAAALqI4/qH-krz86rPYgLPWDzgbrhfP3FWNvNZB3gCLcBGAsYHQ/s72-c/ec8326ad-18f0-4117-9e1d-8e5c45966d96.jpg)
Teknolojia inavyotusaidia kupambana na kirusi cha corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3W4t8UFaITQ/Xrw1fuK9LpI/AAAAAAALqI4/qH-krz86rPYgLPWDzgbrhfP3FWNvNZB3gCLcBGAsYHQ/s400/ec8326ad-18f0-4117-9e1d-8e5c45966d96.jpg)
Nchi mbalimbali zimechukua hatua kusaidia taasisi za afya kama hospitali kuweza kuhudumia idadi kubwa ya wagonjwa ambayo kwa wakati mmoja inahitaji wahudumu wa afya, dawa na vifaa.
Njia mojawapo kusaidia hilo ni kupunguza uwezekano wa maambukizi na tumeona hatua kama kufunga shule, mahoteli na kukataza mikusanyiko. Serikali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0uenA4sS390/Xpq3Ot9DrgI/AAAAAAALnUc/PJO5DtpkpcEvCkY_XoI9mrr5MH1aToMwwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B9.51.42%2BPM.jpeg)
Kirusi cha corona kinavyobadili namna tufanyavyo biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-0uenA4sS390/Xpq3Ot9DrgI/AAAAAAALnUc/PJO5DtpkpcEvCkY_XoI9mrr5MH1aToMwwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B9.51.42%2BPM.jpeg)
Kama ilivyo kwa nchi nyingi duniani, Tanzania nayo inapata changamoto hii. Katika miaka ya karibuni, Tanzani imeingia kwa nguvu zote kuhakikisha inabadilika kuwa nchi ya viwanda yenye uchumi wa kati kufikia mwaka 2025. Kufikia hilo kila juhudi inawekwa katika kujenga uchumi wa taifa, wenye biashara na viwanda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Walioambukizwa corona Kenya wafika 246