Teknolojia inavyotusaidia kupambana na kirusi cha corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3W4t8UFaITQ/Xrw1fuK9LpI/AAAAAAALqI4/qH-krz86rPYgLPWDzgbrhfP3FWNvNZB3gCLcBGAsYHQ/s72-c/ec8326ad-18f0-4117-9e1d-8e5c45966d96.jpg)
Mlipuko wa homa ya kirusi cha corona umeleta athari nyingi kwa jamii zetu na kuathiri kwa kiasi kikubwa wananchi na watoa huduma ya afya barani Afrika na duniani kote.
Nchi mbalimbali zimechukua hatua kusaidia taasisi za afya kama hospitali kuweza kuhudumia idadi kubwa ya wagonjwa ambayo kwa wakati mmoja inahitaji wahudumu wa afya, dawa na vifaa.
Njia mojawapo kusaidia hilo ni kupunguza uwezekano wa maambukizi na tumeona hatua kama kufunga shule, mahoteli na kukataza mikusanyiko. Serikali ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OSOBqhXCRF0/Xm8CzR-G1ZI/AAAAAAALj2g/nDaNymUJ0BYerNbgnAKOouan8op-7WpIwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv78c21bf20ed1m8wt_800C450.jpg)
Walioambukizwa kirusi cha corona Afrika Kusini wafikia 38
![](https://1.bp.blogspot.com/-OSOBqhXCRF0/Xm8CzR-G1ZI/AAAAAAALj2g/nDaNymUJ0BYerNbgnAKOouan8op-7WpIwCLcBGAsYHQ/s640/4bv78c21bf20ed1m8wt_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu 14 waliokumbwa na ugonjwa wa COVID-19 wameongezeka katika kipindi cha siku moja nchini Afrika Kusini.
Huku hayo yakiripotiwa, idadi ya walioambukizwa kirusi cha corona imeongezeka mara mbili pia nchini Morocco baada ya nchi hiyo kuripoti kesi nyingine 9 za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0uenA4sS390/Xpq3Ot9DrgI/AAAAAAALnUc/PJO5DtpkpcEvCkY_XoI9mrr5MH1aToMwwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B9.51.42%2BPM.jpeg)
Kirusi cha corona kinavyobadili namna tufanyavyo biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-0uenA4sS390/Xpq3Ot9DrgI/AAAAAAALnUc/PJO5DtpkpcEvCkY_XoI9mrr5MH1aToMwwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B9.51.42%2BPM.jpeg)
Kama ilivyo kwa nchi nyingi duniani, Tanzania nayo inapata changamoto hii. Katika miaka ya karibuni, Tanzani imeingia kwa nguvu zote kuhakikisha inabadilika kuwa nchi ya viwanda yenye uchumi wa kati kufikia mwaka 2025. Kufikia hilo kila juhudi inawekwa katika kujenga uchumi wa taifa, wenye biashara na viwanda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uLd1DlpNznU/XqRm3o8oYxI/AAAAAAALoOs/_1fCaxSTogs3Q-vQHg1RBPJq2ae-TF8SwCLcBGAsYHQ/s72-c/bbfd2aa4-a536-440e-9a7e-37068e77827d.jpg)
KATIKA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA CORONA CCM YAZINDUA USHONAJI WA BARAKOA CHUO CHA IHEMI MJINI IRINGA,YARAHISISHA UPATIKANAJI WAKE
Mama Queen Mlozi amefanya Uzinduzi huo leo tarehe 25 Aprili, 2020 akimuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally.
Katibu Mkuu wa UWT, akizundua utengenezaji huo wa Barakoa, ameeleza kuwa, "CCM imeamua kutengeneza barakoa kwa bei nafuu, kulinganisha na bei za maeneo mengine ili kutoa huduma na kuwasaidia wananchi kujikinga na...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Jinsi viongozi wa Afrika wanavyojikata mishahara kupambana na corona
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Teknolojia ya TOR: Mbinu mpya ya kupambana na ujangili wa wanyamapori
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CMSs1sK0-yc/XsYGgPSCLKI/AAAAAAALrDQ/y_cOwqEoFKU6MwgcgkwDnghuvUujaMr7ACLcBGAsYHQ/s72-c/1dfc1724-dbcc-4a45-9fe3-6827061e6fca.jpg)
RAIS MAGUFULI APONGEZWA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMSs1sK0-yc/XsYGgPSCLKI/AAAAAAALrDQ/y_cOwqEoFKU6MwgcgkwDnghuvUujaMr7ACLcBGAsYHQ/s640/1dfc1724-dbcc-4a45-9fe3-6827061e6fca.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5d76d45a-2346-40fb-a52c-9405f672738e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/9e4a64d3-a831-44dd-80fa-e86ca9b1c85d.jpg)
…………………………………………………………………………….
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepongezwa kwa hatua zote alizochukuwa za kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi Corona ambapo amefanikiwa kulinda usalama na uhai wa Raia wake.
Hayo yamesemwa leo Jumatano Mei 20, 2020 na Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu kwenye mkutano na Wananchi uliofanyika Kijiji cha Ruvuma kilichopo kata ya Mihambwe wakati wa ziara ya kikazi ya Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa...