Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 2 wanaoleta amani CAR

Jamhuri ya Afrika ya Kati ilitumbukia kwenye ghasia mwaka mmoja uliopita, baada ya serikali kupinduliwa na wapiganaji wa kiislamu wa Seleka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Nani ataleta amani CAR?

Viongozi wa wakristo na waislamu duniani wanapaswa kuhusika zaidi katika vita vinavyoendelea katika Jamhuri ya Afrika ya kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinda amani zaidi wahitajika CAR

Wanajeshi zaidi wa Ufaransa walishika doria katika mji mkuu Bangui huku wengine wakiingia nchini humo kupitia Cameroon

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kutuma wanajeshi wa kulinda amani CAR

Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa limepiga kura kwa kauli moja kutuma kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani.

 

11 years ago

Mwananchi

Catherine Panza; mama anayetarajiwa kuleta amani CAR

Kadiri siku zinavyokwenda dhana ya mwanamke kutokuwa na umuhimu kwenye jamii nyingi za Kiafrika inapotea kutokana na kundi hilo kuanza kuaminika na kupewa madaraka makubwa maeneo husika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 15 yapatikana CAR

Shirika la msalaba mwekundu Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati linasema kuwa limefanikiwa kupata miili ya watu 15 ambao wameuawa tangu siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

Michuzi

Mchezaji Hamis Tambwe alia na TFF,atawaka wanaoleta vurugu wachukuliwe hatua


Mshambuliaji Hamis Tambwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuchukua hatua stahiki dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting kwa kitendo cha kumshambulia na kumtolea lugha chafu uwanjani ikiwemo kumbagua kwa kumuita mkimbizi.

Akizungumza Makao Makuu ya klabu ya Yanga iliyopo mtaa wa Twiga na Jangwani leo, Tambwe alisema kuwa kitendo alichofanyiwa ni cha kinyama na anakilaani kwa nguvu zote, na anataka aelezwe wazi iwapo wachezaji kutoka mataifa mengine hawatakiwi kucheza Tanzania.
"Uwanja...

 

9 years ago

Mwananchi

Watu 41 wakamatwa kwa kutishia amani kwenye kampeni

Watu 41 wakiwamo wanawake  tisa wamekamatwa mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali wakati wa kampeni zinazoendelea kuwanadi madiwani na wabunge.

 

11 years ago

Michuzi

UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII

DSC_0017 Pichani ni  Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani.

Shirika la Ufaransa la Alliance Francaise de Dar es Salaam liliandaa safari ya maonyesho iliyopewa jina “women in Resistance by the talented French photo-journalist...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani