Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Catherine Panza; mama anayetarajiwa kuleta amani CAR

Kadiri siku zinavyokwenda dhana ya mwanamke kutokuwa na umuhimu kwenye jamii nyingi za Kiafrika inapotea kutokana na kundi hilo kuanza kuaminika na kupewa madaraka makubwa maeneo husika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Catherine Samba-Panza: ‘Kigogo’ aliyemaliza maafa Afrika ya Kati

Watu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jumuiya ya Kimataifa haitasahau namna mwama mama Catherine Samba alivyorejesha amani na mshikamano katika nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watembea kilomita 700 kuleta amani Kenya

Kundi la vijana wameanza safari ya kutembea zaidi ya kilomita 700 kuelekea mji wa Mandera katika mpaka baina ya Kenya na Somalia ilikuchochea amani.

 

9 years ago

Michuzi

SUCCOS KUANZISHA MIRADI YENYE LENGO LA KULETA AMANI NCHINI

TAASISI ya Succos Dar es salaam Foundation imeanzisha miradi iliobeba ujumbe wa kudumisha amani, upendo na umoja nchini yenye lengo la kuwasaidia wahitaji mbalimbali ili kuondokana na umasikini nchini.

Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mradi Deogratius Paso amesema kuwa kupitia miradi hiyo itaendesha semina mbalimbali ambazo zitasaidia kudumisha amani na kupunguza umasikini nchini hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

 “Tumelenga mambo mbalimbali...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jambo ambalo linaweza kuleta mgawanyiko: Mtengezaji mabomu aliyebadilika na kuwa mtafutaji amani

Alikuwa sehemu ya kundi la wanamgambo waliotekeleza shambulio la bomu Bali, sasa hivi Ali Fauz, dhamira yake ni kuhakikisha ugaidi unamalizika

 

11 years ago

BBCSwahili

Nani ataleta amani CAR?

Viongozi wa wakristo na waislamu duniani wanapaswa kuhusika zaidi katika vita vinavyoendelea katika Jamhuri ya Afrika ya kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 2 wanaoleta amani CAR

Jamhuri ya Afrika ya Kati ilitumbukia kwenye ghasia mwaka mmoja uliopita, baada ya serikali kupinduliwa na wapiganaji wa kiislamu wa Seleka.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kutuma wanajeshi wa kulinda amani CAR

Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa limepiga kura kwa kauli moja kutuma kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinda amani zaidi wahitajika CAR

Wanajeshi zaidi wa Ufaransa walishika doria katika mji mkuu Bangui huku wengine wakiingia nchini humo kupitia Cameroon

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Pinda na wanaharakati wa amani wa JAPAN

PG4A6333

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya INSTITUTE FOR PEACE POLITICIES  ya Japan, Yoshihiro Yamazaki  (kulia) na Katibu Mkuu wa tasisi ya amani ya Universal Peace Federation ya Japan, Seiichi Kikuya katika chakula cha jioni alichoandaliwa na Tasisi hiyo kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A6335

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani