Watu 400 wafariki katika mto Yangtse
Msemaji wa serikali nchini China anasema kuwa watu 400 wanahofiwa kuaga dunia wakati feri ilipozama kwenye mto Yangtze siku ya jumatatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s72-c/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s640/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQWDm2f8_rs/VajZd82oAcI/AAAAAAABSA4/X8V-H92lOrA/s640/photo_2015-07-17_13-27-23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yAa1X-AUcKo/VajZf4WRicI/AAAAAAABSBE/bJFKpqB8nBs/s640/photo_2015-07-17_13-27-56.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Watu 38 wafariki katika ajali
Kahama/Mbeya. Msiba mwingine mzito umelikumba taifa baada ya watu 38 kupoteza maisha katika matukio mawili tofauti, likiwamo la ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace iliyoua watu 19 wakati ikifanya safari ya wizi mkoani Mbeya.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Watu 36 wafariki katika ajali Tanzania
Takriban Watu 36 wamefariki na wengine 79 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu eneo la Saba Saba wilaya ya Butiama
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Watu 5 wafariki katika shambulizi Baidoa
Alshabaab wamepigana na kufanikiwa kuingia katika makao makuu ya utawala wa jimbo katika mji wa eneo la kati wa Baidoa .
10 years ago
BBCSwahili06 Dec
Watu 7 wafariki katika milipuko Somalia
Takriban watu saba wamefariki katika milipuko miwili ya kujitolea muhanga katika mji wa Baidoa kusini mwa Somali.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Watu 10 wafariki katika milipuko Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa milipuko miwili, imetokea katika mji wa Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno state,
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuF3qInhReyuht5Eors1Od90bxtd8kEuiotnZnzw3eWvrb4LY5oaAUD9SI*5ehVVuVVxKYhOyK7Ph03vrWqAM1P/IMG20140905WA0000.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KATIKA AJALI MUSOMA
Miili na majeruhi wakipokelewa katika Hospitali ya mkoa wa Mara. ...Baadhi ya maiti zikiwa zimefunikwa.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aTKgMOlzGah*BW26rJP2HUnoxwtIxXULHMr53nYJhksWaLzJi6EtxgJ9kL*vccuGcNs-RzqwgvyTOFTZIVXLf1b/breakingnews.gif)
WATU 19 WAFARIKI KATIKA MACHIMBO YA DHAHABU KAHAMA
Wachimbaji wadogo wadogo 19 wa dhahabu wamefariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha kubomoka kwa mashimo hayo katika machimbo ya kijiji cha Karore, Kata ya Runguya, Tarafa ya Msalala mkoani Kahama. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Justus Kamugisha, amesema usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivavamia machimbo hayo ambayo yalishaachwa kuchimbwa muda...
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Watu 27 wafariki katika mkasa moto wa Romania
Watu 27, wengi wao vijana wadogo, wamefariki baada ya moto kuzuka katika kilabu kimoja cha usiku mjini Bucharest, Romania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania