Watu 5 wapigwa risasi na kuuawa Burundi
Vijana watano wamepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Watu ishirini wapigwa risasi Marekani
Watu ishirini wamepigwa risasi na mtu mmoja mwenye silaha katika mji wa San Bernardino mashariki mwa Los Angeles.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi
Watu saba wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia kinachodaiwa kuwa jaribio la wizi katika benki moja.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWS1c2QXFmYSlSnVTjrmG8Fh8P-tWEfPaKMwgsPvIS3hVRV66YKZqhw9sPFnFkWEdgbtJCtGyXnUioUKyMg9NpJF/bosi.jpg?width=650)
BOSI ALIVYONUSURIKA KUUAWA KWA RISASI
Na Mwandishi Wetu, Kahama INASIKITISHA! Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa risasi na mapanga Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Geita, Juma Kimisha na msafara wake na kusababisha kiongozi huyo kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza ili kuokoa uhai wake. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Geita, Juma Kimisha akiwa Hospitali ya Wilaya ya Kahama Kitengo cha Bima. Akizungumza kwa shida katika...
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mkereketwa apigwa risasi na kuuawa Libya
Wakili mashuhuri mkereketwa wa haki za kibinadamu nchini Libya ameuliwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana mjini Benghazi.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Adaiwa kuuawa kwa risasi mgodini
Utata umegubika mazingira ya kifo cha Emmanuel Mtongori (20), mkazi wa Kijiji cha Rung’abure, wilayani Serengeti inayedaiwa kupigwa risasi eneo la Mgodi wa African Barrick North Mara na kufariki dunia akiwa Kituo cha Polisi Nyamongo.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Wawindaji wapigwa risasi Selous
Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa risasi na askari wa wanyamapori wa Pori la Akiba la Selous.
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wafungwa wapigwa risasi mahakamani AK
Wafungwa wawili wamepigwa risasi walipokuwa wakijaribu kutoroka kutoka katika mahakama moja nchini Afrika Kusini.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Wachezaji 5 wapigwa risasi Nigeria
Wachezaji 5 wa kilabu ya Kano Pillars , Nigeria walipigwa risasi na wapiganaji katika shambulizi lillolenga msafara wa kilabu hiyo
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Jaji na wakili wapigwa risasi Italy
Jaji mmoja na wakili ni miongoni mwa watu waliouawa baada ya mshukiwa mmoja kuwafyatulia risasi ndani ya mahakama mjini Milan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania