Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 5 wapigwa risasi na kuuawa Burundi

Vijana watano wamepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu ishirini wapigwa risasi Marekani

Watu ishirini wamepigwa risasi na mtu mmoja mwenye silaha katika mji wa San Bernardino mashariki mwa Los Angeles.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu saba wauawa kwa risasi Burundi

Watu saba wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia kinachodaiwa kuwa jaribio la wizi katika benki moja.

 

11 years ago

GPL

BOSI ALIVYONUSURIKA KUUAWA KWA RISASI

Na Mwandishi Wetu, Kahama INASIKITISHA! Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa risasi na mapanga Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Geita, Juma Kimisha na msafara wake na kusababisha kiongozi huyo kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza ili kuokoa uhai wake. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Geita, Juma Kimisha akiwa Hospitali ya Wilaya ya Kahama Kitengo cha Bima. Akizungumza kwa shida katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkereketwa apigwa risasi na kuuawa Libya

Wakili mashuhuri mkereketwa wa haki za kibinadamu nchini Libya ameuliwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana mjini Benghazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Adaiwa kuuawa kwa risasi mgodini

Utata umegubika mazingira ya kifo cha Emmanuel Mtongori (20), mkazi wa Kijiji cha Rung’abure, wilayani Serengeti inayedaiwa kupigwa risasi eneo la Mgodi wa African Barrick North Mara na kufariki dunia akiwa Kituo cha Polisi Nyamongo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wawindaji wapigwa risasi Selous

Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa risasi na askari wa wanyamapori wa Pori la Akiba la Selous.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa wapigwa risasi mahakamani AK

Wafungwa wawili wamepigwa risasi walipokuwa wakijaribu kutoroka kutoka katika mahakama moja nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 5 wapigwa risasi Nigeria

Wachezaji 5 wa kilabu ya Kano Pillars , Nigeria walipigwa risasi na wapiganaji katika shambulizi lillolenga msafara wa kilabu hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji na wakili wapigwa risasi Italy

Jaji mmoja na wakili ni miongoni mwa watu waliouawa baada ya mshukiwa mmoja kuwafyatulia risasi ndani ya mahakama mjini Milan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani