Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji na wakili wapigwa risasi Italy

Jaji mmoja na wakili ni miongoni mwa watu waliouawa baada ya mshukiwa mmoja kuwafyatulia risasi ndani ya mahakama mjini Milan

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 5 wapigwa risasi Nigeria

Wachezaji 5 wa kilabu ya Kano Pillars , Nigeria walipigwa risasi na wapiganaji katika shambulizi lillolenga msafara wa kilabu hiyo

 

10 years ago

Mwananchi

Wawindaji wapigwa risasi Selous

Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa risasi na askari wa wanyamapori wa Pori la Akiba la Selous.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa wapigwa risasi mahakamani AK

Wafungwa wawili wamepigwa risasi walipokuwa wakijaribu kutoroka kutoka katika mahakama moja nchini Afrika Kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wapigwa risasi na kuuawa Burundi

Vijana watano wamepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu ishirini wapigwa risasi Marekani

Watu ishirini wamepigwa risasi na mtu mmoja mwenye silaha katika mji wa San Bernardino mashariki mwa Los Angeles.

 

9 years ago

BBCSwahili

Weusi 2 wapigwa risasi na kuawa Chicago

Polisi mmoja amewapiga risasi watu wawili weusi alipoitwa kuchunguza kisa cha ugomvi wa kinyumbani katika mji wa Chicago Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Weusi 2 wapigwa risasi Ferguson,Marekani

Watu 2 weusi walipigwa risasi na polisi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu kuuawa kwa mvulana mweusi huko Ferguson, Missouri

 

9 years ago

Mtanzania

Jaji amwonya wakili kesi ya Mwalle

NA JANETH MUSHI, ARUSHA

JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, amemwonya na kumtaka Wakili wa Jamhuri, Pius Hilla, amuulize shahidi wake kuhusu kesi iliyopo mahakamani na si kuuliza juu ya mafunzo.

Jaji Mjemas alitoa kauli hiyo jana mjini hapa wakati akisikiliza ushahidi wa shahidi wa pili wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga, katika kesi inayoendelea kusikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania,...

 

9 years ago

Habarileo

Jaji amtaka Wakili asipoteze muda

JAJI wa Mahakama Kuu, Jaji Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya kughushi nyaraka na kutakatisha fedha inayomkabili Wakili maarufu Median Mwale na wenzake watatu, amemtaka Wakili wa Serikali, Pius Hilla kumwelekeza shahidi wa kesi hiyo kitu gani alichunguza badala ya kumuuliza kozi alizohudhuria kwani zinapoteza muda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani