Weusi 2 wapigwa risasi Ferguson,Marekani
Watu 2 weusi walipigwa risasi na polisi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu kuuawa kwa mvulana mweusi huko Ferguson, Missouri
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Weusi 2 wapigwa risasi na kuawa Chicago
Polisi mmoja amewapiga risasi watu wawili weusi alipoitwa kuchunguza kisa cha ugomvi wa kinyumbani katika mji wa Chicago Marekani.
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Watu ishirini wapigwa risasi Marekani
Watu ishirini wamepigwa risasi na mtu mmoja mwenye silaha katika mji wa San Bernardino mashariki mwa Los Angeles.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Wawindaji wapigwa risasi Selous
Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa risasi na askari wa wanyamapori wa Pori la Akiba la Selous.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Wachezaji 5 wapigwa risasi Nigeria
Wachezaji 5 wa kilabu ya Kano Pillars , Nigeria walipigwa risasi na wapiganaji katika shambulizi lillolenga msafara wa kilabu hiyo
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wafungwa wapigwa risasi mahakamani AK
Wafungwa wawili wamepigwa risasi walipokuwa wakijaribu kutoroka kutoka katika mahakama moja nchini Afrika Kusini.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watu 5 wapigwa risasi na kuuawa Burundi
Vijana watano wamepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Jaji na wakili wapigwa risasi Italy
Jaji mmoja na wakili ni miongoni mwa watu waliouawa baada ya mshukiwa mmoja kuwafyatulia risasi ndani ya mahakama mjini Milan
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANACHAMA WAWILI WA CUF WAPIGWA RISASI ZANZIBAR
Muonekano wa wanachama hao wa CUF waliopigwa risasi. Wanachama wawili wa CUF wamepigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao mchana wa leo wakati wa kuandikisha kupiga kura Makunduchi, Zanzibar, wamelazwa Hospitali ya Arahma. (CHANZO: ITV NA JAMII…
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mauaji ya weusi yaendelea Marekani
Polisi mjini Cleveland nchini Marekani, wameachilia video inayoonesha mauaji ya kijana wa miaka kumi na miwili akipigwa risasi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania