Watu milioni 11 wajiandikisha BVR
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema hadi sasa wameshaandikisha wapigakura zaidi ya milioni kumi na moja kati ya milioni 24 wanaotarajiwa kuandikishwa nchini kote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
JK ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga leo, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMZ1yTqjSCybQkv*VbKRBp3tZ8I9CY1sg1R5Q-OD7-rCalB-vkjPOIeTMaJu7-zZgtU6gy86AKX33MvmQOAadHo/22.jpg?width=650)
JK AJIANDIKISHA KUPIGA KURA KWA KUTUMIA BVR KIJIJINI MSOGA JANA, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Oct
Vifaa Kama BVR Vyanaswa Vikiandikisha watu Jijini Dar.
Vifaa Kama BVR Vyanaswa Vikiandikisha watu Jijini Dar. friday,october 9,2015 Hofu ilitanda jana katika kiwanda cha MM Steel cha jijini Dar es Salaam, baada ya kuwapo kwa taarifa kuwa mashine ya kusajili wapigakura kwa mfumo wa […]
The post Vifaa Kama BVR Vyanaswa Vikiandikisha watu Jijini Dar. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo25 Aug
Wahamiaji wajiandikisha uraia wakidai Watanzania
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) imesema baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Newala ni wahamiaji kutoka Msumbiji na wamekuwa wakijitambulisha kuwa Watanzania wakati wa kujaza fomu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cCo-wktJOJ8/VIm0-JQ3BNI/AAAAAAAG2jw/kKW-rg2uDC8/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
ASILIMIA 62 WAJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cCo-wktJOJ8/VIm0-JQ3BNI/AAAAAAAG2jw/kKW-rg2uDC8/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Jumla ya Watanzania 11,491,661 sawa na asilimia 62% ya watanzania 18,587,742 ambao walitarajiwa kujiandikisha kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika jumapili ijayo wamejiandikisha kushiriki uchaguzi huo.
Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali ...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Watu milioni 1.6 wamdhamini Lowassa
9 years ago
Habarileo10 Dec
Watu milioni 10 kuelimishwa kipindupindu
WATANZANIA zaidi ya milioni 10 wanaotumia mitandao ya simu nchini, wanatarajia kunufaika kupata elimu kuhusu ugonjwa wa kipindupindu.
10 years ago
Habarileo02 Aug
NEC yaandikisha watu milioni 21
TUME ya Uchaguzi (NEC), imesema imeandikisha zaidi ya watu milioni 21 nchini tangu uandikishaji uanze Februari 23, mwaka huu na kwamba, Dar es Salaam pekee, wameandikishwa watu zaidi ya milioni mbili.
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Ajali zaua watu milioni sita
WATU milioni sita wanakadiriwa kufa na wengine milioni 20 hadi 50 hujeruhiwa kwa ajali za barabarani kila mwaka. Takwimu hizo zimebainishwa jana na daktari bingwa wa mifupa wa Taasisi ya...