NEC yaandikisha watu milioni 21
TUME ya Uchaguzi (NEC), imesema imeandikisha zaidi ya watu milioni 21 nchini tangu uandikishaji uanze Februari 23, mwaka huu na kwamba, Dar es Salaam pekee, wameandikishwa watu zaidi ya milioni mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Aug
NEC yaandikisha 94% Dar
WATU 2,634,942 wameandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura mkoani Dar es Salaam katika mfumo wa BVR, sawa na asilimia 93.76. Mkuu wa Idara ya Elimu ya Mpigakura na Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ruth Masham alisema hayo jana alipokuwa akitoa taarifa ya uandikishwaji huo katika Jiji la Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo10 Dec
Watu milioni 10 kuelimishwa kipindupindu
WATANZANIA zaidi ya milioni 10 wanaotumia mitandao ya simu nchini, wanatarajia kunufaika kupata elimu kuhusu ugonjwa wa kipindupindu.
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Watu milioni 1.6 wamdhamini Lowassa
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Watu milioni 11 wajiandikisha BVR
10 years ago
Habarileo21 Nov
Watu milioni 2.2 hawana ajira nchini
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema watu milioni 2.2 hapa nchini, sawa na asilimia 11.7 wanaostahili kufanya kazi hawana kazi, ambapo kati yao vijana ni milioni 1.4.
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kikwete ni rais wa watu milioni tano?
RAIS Jakaya Kikwete na Jaji Joseph Warioba wamejibizana kijanja, na wamenikumbusha mchuano wa urais mwaka 2005. Nikakumbuka jinsi Jaji Warioba alivyokuwa shabiki wa Dk. Salim Ahmed Salim, aliyekuwa anawania urais...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Watu milioni 11 tu kupiga kura J’pili
Katika uchaguzi huo, watakaochaguliwa ni wenyeviti wa vijiji na wajumbe wa halmashauri za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa kamati za mitaa na wenyeviti wa vitongoji.
Mkoa wa Katavi umeongoza kwa kuandikisha asilimia 78 ya wapigakura huku mkoa wa Dar es Salaam umetajwa kufanya vibaya katika kuandikisha wapiga kura,...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Ajali zaua watu milioni sita
WATU milioni sita wanakadiriwa kufa na wengine milioni 20 hadi 50 hujeruhiwa kwa ajali za barabarani kila mwaka. Takwimu hizo zimebainishwa jana na daktari bingwa wa mifupa wa Taasisi ya...