Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yaandikisha watu milioni 21

TUME ya Uchaguzi (NEC), imesema imeandikisha zaidi ya watu milioni 21 nchini tangu uandikishaji uanze Februari 23, mwaka huu na kwamba, Dar es Salaam pekee, wameandikishwa watu zaidi ya milioni mbili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NEC yaandikisha 94% Dar

WATU 2,634,942 wameandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura mkoani Dar es Salaam katika mfumo wa BVR, sawa na asilimia 93.76. Mkuu wa Idara ya Elimu ya Mpigakura na Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ruth Masham alisema hayo jana alipokuwa akitoa taarifa ya uandikishwaji huo katika Jiji la Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Watu milioni 10 kuelimishwa kipindupindu

WATANZANIA zaidi ya milioni 10 wanaotumia mitandao ya simu nchini, wanatarajia kunufaika kupata elimu kuhusu ugonjwa wa kipindupindu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu milioni 1.6 wamdhamini Lowassa

Kada mpya wa Chadema, Edward Lowassa jana amerejesha fomu ya kuwania urais, huku akifanikiwa kupata wadhamini milioni 1.6, zaidi ya nusu ya kura za urais ambazo chama hicho kilipata kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu milioni 11 wajiandikisha BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema hadi sasa wameshaandikisha wapigakura zaidi ya milioni kumi na moja kati ya milioni 24 wanaotarajiwa kuandikishwa nchini kote.

 

10 years ago

Habarileo

Watu milioni 2.2 hawana ajira nchini

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema watu milioni 2.2 hapa nchini, sawa na asilimia 11.7 wanaostahili kufanya kazi hawana kazi, ambapo kati yao vijana ni milioni 1.4.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete ni rais wa watu milioni tano?

RAIS Jakaya Kikwete na Jaji Joseph Warioba wamejibizana kijanja, na wamenikumbusha mchuano wa urais mwaka 2005. Nikakumbuka jinsi Jaji Warioba alivyokuwa shabiki wa Dk. Salim Ahmed Salim, aliyekuwa anawania urais...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

 

10 years ago

CloudsFM

Watu milioni 11 tu kupiga kura J’pili

UMLA ya Watanzania milioni 11.4 wamejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Jumapili wiki hii, sawa na asilimia 62 ya lengo lililowekwa.
Katika uchaguzi huo, watakaochaguliwa ni wenyeviti wa vijiji na wajumbe wa halmashauri za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa kamati za mitaa na wenyeviti wa vitongoji.

Mkoa wa Katavi umeongoza kwa kuandikisha asilimia 78 ya wapigakura huku mkoa wa Dar es Salaam umetajwa kufanya vibaya katika kuandikisha wapiga kura,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali zaua watu milioni sita

WATU milioni sita wanakadiriwa kufa na wengine milioni 20 hadi 50 hujeruhiwa kwa ajali za barabarani kila mwaka. Takwimu hizo zimebainishwa jana na daktari bingwa wa mifupa wa Taasisi  ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani