Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yaandikisha 94% Dar

WATU 2,634,942 wameandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura mkoani Dar es Salaam katika mfumo wa BVR, sawa na asilimia 93.76. Mkuu wa Idara ya Elimu ya Mpigakura na Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ruth Masham alisema hayo jana alipokuwa akitoa taarifa ya uandikishwaji huo katika Jiji la Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NEC yaandikisha watu milioni 21

TUME ya Uchaguzi (NEC), imesema imeandikisha zaidi ya watu milioni 21 nchini tangu uandikishaji uanze Februari 23, mwaka huu na kwamba, Dar es Salaam pekee, wameandikishwa watu zaidi ya milioni mbili.

 

11 years ago

Michuzi

PPF YAANDIKISHA WANACHAMA WAPYA KATIKA TAMASHA LA MWANAMKE NA AKIBA LINALOENDELEA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DAR LIVE

Mama Asha Bilali akimkabidhi Cheti Cha Udhamini kwa Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF katika tamasha la wanawake na akiba linaloendelea kufanyika Katika ukumbi wa Dar Live wilaya ya Temeke ,Jijini Dar Es Salaam. Meneja mahusiano na Masoko wa mfuko wa pensheni wa PPF Bi Lulu Mengele akitoa hotuba fupi kwa washiriki waliohudhuria tamasha la wanawake na akiba ambapo PPF ilishiriki ili kuweza kutoa elimu kwa Washiriki kuweza kujua umuhimu wa kuchangia na mfuko wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mombasa yaandikisha wagonjwa wapya 19 huku idadi ikifikia 465 Kenya

Kenya imethibitisha wagonjwa 30 wapya hatua inayoongeza idadi ya visa vya ugonjwa huo nchini humo kufikia 465 kulingana na katibu wa kudumu katika wizara ya afya nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha kwa muda uandikishaji wa wapigakura katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani hadi hapo itakapotangazwa.

 

10 years ago

IPPmedia

No extension of Dar voter registration — NEC


No extension of Dar voter registration – NEC
IPPmedia
With two days to go, the National Electoral Commission (NEC) announced yesterday that it will not extend Dar es Salaam's voter registration deadline beyond Friday. However, to ensure that all eligible voters are registered, NEC has increased the number ...
NEC uncovers double registrationDaily News
Illiteracy Behind Low Voter RegistrationAllAfrica.com

all 4

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yaongeza siku za kujiandikisha Dar

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeongeza siku nne zaidi za kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa Mkoa Dar es Salaam.

 

10 years ago

IPPmedia

NEC: Dar should expect smooth voters' registration


NEC: Dar should expect smooth voters' registration
IPPmedia
Residents of Dar es Salaam should expect a smooth voter registration exercise because all upcountry Biometric Voter Registration (BVR) kits will be available from July 22 this year. This assurance has been made by the Chairman of the National Electoral ...

 

10 years ago

TheCitizen

NEC shelves voter listing in Dar, Coast

The National Electoral Commission (NEC) has suspended voter registration in Coast and Dar es Salaam regions because of the lack of biometric voter registration (BVR) kits.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa aipagawisha Dar, achukua fomu ya urais NEC

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani vinavyounda umoja unaofahamika kwa jina la Ukawa, Edward Lowassa jana alichukua fomu za kuwania rasmi nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani