NEC yaandikisha 94% Dar
WATU 2,634,942 wameandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura mkoani Dar es Salaam katika mfumo wa BVR, sawa na asilimia 93.76. Mkuu wa Idara ya Elimu ya Mpigakura na Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ruth Masham alisema hayo jana alipokuwa akitoa taarifa ya uandikishwaji huo katika Jiji la Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
NEC yaandikisha watu milioni 21
TUME ya Uchaguzi (NEC), imesema imeandikisha zaidi ya watu milioni 21 nchini tangu uandikishaji uanze Februari 23, mwaka huu na kwamba, Dar es Salaam pekee, wameandikishwa watu zaidi ya milioni mbili.
11 years ago
MichuziPPF YAANDIKISHA WANACHAMA WAPYA KATIKA TAMASHA LA MWANAMKE NA AKIBA LINALOENDELEA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DAR LIVE
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Mombasa yaandikisha wagonjwa wapya 19 huku idadi ikifikia 465 Kenya
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
10 years ago
IPPmedia28 Jul
No extension of Dar voter registration — NEC
IPPmedia
With two days to go, the National Electoral Commission (NEC) announced yesterday that it will not extend Dar es Salaam's voter registration deadline beyond Friday. However, to ensure that all eligible voters are registered, NEC has increased the number ...
NEC uncovers double registrationDaily News
Illiteracy Behind Low Voter RegistrationAllAfrica.com
all 4
10 years ago
Mwananchi31 Jul
NEC yaongeza siku za kujiandikisha Dar
10 years ago
IPPmedia20 Jul
NEC: Dar should expect smooth voters' registration
IPPmedia
Residents of Dar es Salaam should expect a smooth voter registration exercise because all upcountry Biometric Voter Registration (BVR) kits will be available from July 22 this year. This assurance has been made by the Chairman of the National Electoral ...
10 years ago
TheCitizen28 Jun
NEC shelves voter listing in Dar, Coast
10 years ago
Habarileo11 Aug
Lowassa aipagawisha Dar, achukua fomu ya urais NEC
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani vinavyounda umoja unaofahamika kwa jina la Ukawa, Edward Lowassa jana alichukua fomu za kuwania rasmi nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).