Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATUHUMIWA WA MAKOSA YA MTANDAO WATIWA MBARONI

Mtuhumiwa wa makosa ya mtandao anayetuhumiwa kusambaza katika mitandao  taarifa za uongo zinazomhusu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama,  Benedic Angelo Ngonyani (24) (wa kwanza Kulia) akiwa katika mahakama ya hakimu mkazi ya Kisutu akisubiri kusomewa mashtaka. 
Wengine ni watuhumiwa wa wizi kwa kutumia mitandao ya simu (fraud and use of telecommunication network) Ally Hamze (53) raia wa Afrika Kusini(wa Pili kulia), Huang Kun Bing (26)Raia wa China (wa Tatu Kulia) Irfan Mirza Baig (46) (wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Watuhumiwa 4 wa ujambazi watiwa mbaroni

POLISI mkoani Katavi inawashikilia watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokamatwa wakiwa na bunduki mbili aina ya SMG zilizokuwa na risasi 40 za moto.

 

10 years ago

GPL

WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI

Kituo cha Polisi Stakishari kilichovamiwa na majambazi. JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limewakamata watu watano waliohusika na tukio la ujambazi katika Kituo cha Stakishari, kilichopo Ukonga jijini Dar pamoja na silaha kadhaa. Katika tukio hilo bunduki aina ya SMG 7, SAR 7 na risasi 28 za SMG vimekamatwa vyote vikiwa vya Kituo cha Stakishari. Mbali na vitu hivyo, sanduku lenye fedha kiasi cha shilingi milioni 170 pamoja na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015

 Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.  Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, na kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi...

 

10 years ago

Habarileo

Waethiopia 63 watiwa mbaroni

Kundi la wahamiaji haramu 63 likiwa chini ya ulinzi katika kijiji cha Kidoka wilaya ya Chemba mkoani Dodoma baada ya kukamatwa na polisi kwa kuingia nchini bila hati. Mmoja wa wahamiaji hao alikutwa amekufa. (Na Mpigapicha Wetu).JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia raia 63 wa Ethiopia na maiti mmoja ambao walikuwa wakisafirishwa na dereva Mtanzania kutoka Moshi kwenda Mbeya kwa kupitia njia za panya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waethiopia 76 watiwa mbaroni

IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro kwa kusadiana na Jeshi la Polisi imewanasa wahamiaji haramu 76 raia wa Ethiopia walioingia nchini kinyume cha sheria wakiwa katika harakati za kutaka kusafirishwa...

 

11 years ago

Mtanzania

Kibonde, Gadner watiwa mbaroni

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

NA ELIZABETH HOMBO

WATANGAZAJI maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde na Gadner G. Habash, wametiwa mbaroni katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, jijini Dar es Salaam baada ya kudaiwa kusababisha ajali na kukaidi amri ya askari wa usalama barabarani.

Kibonde ambaye amejizolea umaarufu kupitia kipindi cha ‘Jahazi’ kinachorushwa na kituo cha redio cha Clouds Fm akiwa na mtangazaji mwenzake wa Radio Times, Gadner, walikutwa na mkasa huo jana...

 

11 years ago

GPL

POLISI FEKI WATIWA MBARONI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari  feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro. Kulia ni Brazil Nyakunga ambaye ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bosi wake Goodluck Mbehale.
Askari Polisi mkoani Iringa (kushoto) akiwa na maaskari  feki katika ofisi…

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo TPDC watiwa mbaroni

Askari Polisi wakiwaongoza Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwanda (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, James Andilile (wa pili kulia) kuelekea katika gari la polisi baada ya kuwakamata kwenye Ofisi ya Bunge Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).VIGOGO wawili wa Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli (TPDC) jana walijikuta wakisota rumande kwa saa kadhaa baada ya kushikiliwa na Polisi, kwa kile kilichoelezwa ni kukiuka agizo la Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyokuwa imeagiza ikabidhiwe mikataba 26 ya gesi iliyofikiwa kati ya Serikali na wawekezaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani